Anaitajika Muuza bucha mwenye uzoefu wa kuuza bucha ya nyama na samaki kwenye jiji LA Dar as salaama, ikiwemo uzoefu wa kufata mzigo kwenye machinjio kama vingunguti na kwingineko.
Bucha iko maeneo ya Bunju B, mshara ni 300,000/= kwa mwezi.
Uzoefu ni muhimu kwani tuna wateja wanaoitaji aina maalumu ya ukataji na sehemu tu za nyama mfano wachoma nyama,wapika sausage na mengine.
Baadae tutaongeza wasio na uzoefu wajifunze. Ni PM kama unavigezo.
Bucha iko maeneo ya Bunju B, mshara ni 300,000/= kwa mwezi.
Uzoefu ni muhimu kwani tuna wateja wanaoitaji aina maalumu ya ukataji na sehemu tu za nyama mfano wachoma nyama,wapika sausage na mengine.
Baadae tutaongeza wasio na uzoefu wajifunze. Ni PM kama unavigezo.