AJIRA NA KUTOKUSUP NI KWA MWANACCM TU : dr Idahya SEKUMU.

nilitegemea dr. aongee mambo ya kujenga nchi na kulikomboa taifa letu katika wimbi la umasikini wa kujitakia. angetumia busara zake kutoa maoni yenye busara kwa wahitimu. sasa hapa anaonesha kuidhalilisha elimu kwa kushabikia sisiem
 
nilitegemea dr. aongee mambo ya kujenga nchi na kulikomboa taifa letu katika wimbi la umasikini wa kujitakia. angetumia busara zake kutoa maoni yenye busara kwa wahitimu. sasa hapa anaonesha kuidhalilisha elimu kwa kushabikia sisiem

Mkuu kila mtu kwa akili ya kawaida kabisa alitegemea dr awakumbushe wahitimu wajibu wao watakapokuwa kwa wanachi au ktk majukumu mengine huko waendako, kitendo cha yeye kujikita zaidi ktk propaganda za sisiem zimemshushia credit sana. Kuna muda najiuliza sana je hii ni bahati mbaya au inatokea kwa makusudi? kila anaposimama kada au mpenzi wa chama cha mapinduzi anatoa kauli za ajabu kabisa! dr hakutegemewa kuropoka pumba za kiasi hiki. naogopa kama wahadhiri wenzake watachungulia hapa.
 

Mkuu ni kweli uliyoyaongea kuhusu faida ya chama kuwa ni kura siku ya mwisho. Lakini kubaliana nami kuwa hiyo ya kura ni hatua ya mwisho kabisa katika kuhesabu faida. Hao wapiga kura lazima waandaliwe kwa kuwa na elimu sahihi ya uraia, nategemea kazi hii ifanywe na vyama, raia wazalendo, na hasa hawa wasomi. hapo sasa wapiga kura watachagua kwa usahihi, maana watakuwa wamevuka from subjects to citizens.
 
Je uongozi wa chuo umepinga kauli hiyo? Kama bado, ulizeni msimamo wa chuo. Hii ni hali ya hatari kwa mustakabali wa nchi.

Inawezekana kabisa huu ni mkakati wa CCM, na mipango katika viako vyao vya siri kwa kuwa hata mimi nimewahi kusikia kutoka kwa mhadhiri mmoja (ambaye ni kada wa mkongwe wa CCM) akisema ya kwamba wale wote wanaofanya harakati za kuipinga CCM wasitarajie kuajiriwa na serikali.
 
Nawakusanya makada wezangu hasa LeMutuz twende tukajilie kuku wetu na kupata vyeti vya mchekea
 




huyo idahya chiziii huniambii kitu namfahamu thats why nimesema hayo. Tulimtoa class mpaka tunamaliza chuo hakukanyaga kwenye madarasa yetu. We usiseme lolote jamaa yaani kama kaishia darasa la pili c.
 
Last edited by a moderator:
Nawakusanya makada wezangu hasa LeMutuz twende tukajilie kuku wetu na kupata vyeti vya mchekea

hahahaha! kiongozi kazi yenu kubwa iwe kuhudhuria ofice za ccm na kuingia ktk vyumba vya mitihani! mwisho wa siku mnakomba vyeti! Tanzania yetu leo!
 
nahisi anafikiri kwa kutumia nyuchi lake

Mkuu unamfahamu haswa! maana kwa sasa pamoja na kufanya phd ndo kazidi kuwa mburula anaropoka vitu vya ajabu kabisa! eti hakuna supplimentary kwa wana-ccm! shame on you idahya!
 
hiyo idahya mwenyewe chizi nakumbuka tulimtoaga baruti class asitufundishe sababu ya uchizi wake. Kwahiyo usiwe unaleta thread za wehuwehu hapa angeongea mtu wa maana ingekuwa afadhali. Au nawewe kama yeye?

Yawezekana akawa chizi, lkn alichokisema kina mashiko. Wakati wa uchaguzi mbalimbali, si jambo la ajabu kuona wenyeviti na makatibu wa matawi wa CCM wakinakili namba za kadi za kupikia kura za wanachama wao, UMESHAWAHI KUJIULIZA WANAFANYA REFERENCING YA NINI?

Ile karatasi tuliyopigia kura mwaka 2010, ipo kama tiketi ya daladala. Sehemu A unachukua wewe kwenda kupigia kura na kwenye kichungi inabaki namba. Ile kura kweli ilikuwa ya siri?
 

Mkuu mimi naamini jamaa ni mwehu! so wote washabikie u-ccm ili wapangwe kazi maeneo bora na wafaulu bila kufanya kazi? hapana! anawadanganya na wakifuata wehu huo watapata shida sana huku field.
 
Mkuu unamfahamu haswa! maana kwa sasa pamoja na kufanya phd ndo kazidi kuwa mburula anaropoka vitu vya ajabu kabisa! eti hakuna supplimentary kwa wana-ccm! shame on you idahya!



shame kidogo basi? Sana tu kwa yule jamaa kazi kusomea watu minotes yake akiwa class. Kuna siku alituboa alitaka assigment zote tuandike reg. No yake ya open university juu ya cover page sijui ndio.tujue huko alikuwa anaongeza elimu yake. Sijawahi kuona msukuma mburura kama yule tena wale madem white maksi kwao anatoa tu ukimfata ofisini ukajichekesha akaaa anatoa maksi kiulaaini. Nahisi lile jinamizi la kuchemsha na kukimbia upadri lamtafuna.
 



sina la kukujibu kwanza wewe mwana umetoka pabaya kuna nn tena?
 

hahahaha! nimecheka eti wale white anatoa tu alama! jana naye alipanga foleni akazawadiwa cheti na mwenyekiti wa ccm, ndipo akaanza kuropoka bila kujua athari ya kauli zake. mnafiki sana huyu baba.
 
Kuna watu humu mambo ya uchama yamewakaa kwenye ubongo mpaka kero. Sasa ww unaanza kufoka pasi na ushahid wa kutosha eti kisa tetesi. Kama huyo mtoa mada anatumia kuleta chuki?. Siasa ni saikolojia na kama mburula utabaki kuendeshwa tu au kutumia eti we unajiita ni mpambanaji.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…