MUME MWEMA
JF-Expert Member
- May 16, 2013
- 327
- 44
Kama siyo mwanaccm ukisup mtafute nepi fasta akupe kadi, akikutoa harakati kama kawa. tz bhana haish vi2ko.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuna watu humu mambo ya uchama yamewakaa kwenye ubongo mpaka kero. Sasa ww unaanza kufoka pasi na ushahid wa kutosha eti kisa tetesi. Kama huyo mtoa mada anatumia kuleta chuki?. Siasa ni saikolojia na kama mburula utabaki kuendeshwa tu au kutumia eti we unajiita ni mpambanaji.