Kuna watu humu mambo ya uchama yamewakaa kwenye ubongo mpaka kero. Sasa ww unaanza kufoka pasi na ushahid wa kutosha eti kisa tetesi. Kama huyo mtoa mada anatumia kuleta chuki?. Siasa ni saikolojia na kama mburula utabaki kuendeshwa tu au kutumia eti we unajiita ni mpambanaji.