Ajira nyingi binafsi zinahitaji muonekano

Ajira nyingi binafsi zinahitaji muonekano

stabilityman

JF-Expert Member
Joined
Jul 9, 2024
Posts
259
Reaction score
483
Kuna watu wanamiili mikubwa
Muonekano hamna
Elimu hamna

Nawao wanagombania kazi za restaurant, supermarket,dukan,sheli,

Sasa endelea kuchagua sana kazi wakati waajili wanataka watu wanaojua wao watawaongezea thamani ya duka kwa muonekano

Wewe mwenzangu namm mwenye sifa hizo hapo juu usichague kazi we twende kiwandani, kazi za usafi, godauni, basi upunguze lawama kwa serikali au tujiajiri biashara binafsi

Achana na hizo kazi unazochagua chagua maana zina competition nyingi sana na wahitaji ni wengi


Nmetupa jiwe gizani litakaye mkuta ajitokeze
 
1737144039331.jpg
 
Kuna watu wanamiili mikubwa
Muonekano hamna
Elimu hamna

Nawao wanagombania kazi za restaurant, supermarket,dukan,sheli,

Sasa endelea kuchagua sana kazi wakati waajili wanataka watu wanaojua wao watawaongezea thamani ya duka kwa muonekano

Wewe mwenzangu namm mwenye sifa hizo hapo juu usichague kazi we twende kiwandani, kazi za usafi, godauni, basi upunguze lawama kwa serikali au tujiajiri biashara binafsi

Achana na hizo kazi unazochagua chagua maana zina competition nyingi sana na wahitaji ni wengi


Nmetupa jiwe gizani litakaye mkuta ajitokeze
Solution
Wenye sura zetu personal
Wasomee kazi ambazo hazihitaji siasa za muonekano
Kuna kazi nyingi hazihitaji blah blah za muonekano.
Mfano kazi za afya na kadhalika.
 
Back
Top Bottom