Phillemon Mikael
Platinum Member
- Nov 5, 2006
- 10,557
- 8,673
Katika Miaka ya karibuni kumeeibuka mmomonyoko wa maadili kwenye utumishi wa umma ...kati ya mambo yalioshauriwa ili kuondoa mmomonyoko huo ,ilikuwa ni kurudisha JKT ,kwa kuanzia miaka ya mwanzo ya 2000 ..iliamua JKT irudi kwa vijana wa kujitolea ...,Ambapo baadaye iliamuliwa kuwa vijana hao wanaopikwa kwa mwaka mmoja hadi miwili ..wawe ndio sufuria kwa ajili ya kuvuna ..Askari wa :-
JWTZ
USALAMA WA TAIFA
MAGEREZA
POLISI
ZIMAMOTO
WANYAMA PORI
Vijana wanaobakia hapo watakuwa wa akiba na wanaweza kuajiriwa na Kampuni ya JKT Ya summa na wengine kuna mjadala wa kuwasaidia wawe wakulima stadi kadiri ya mafunzo yao kwa kuwapeleka vijijini na kuwapatia nyenzo za kisasa..
JESHI La Polisi miaka yote ndio limekuwa kielelezo cha kuporomoka kwa maadili kuanzia kwa vijana kupokea rushwa ,kushirikiana na majambazi ..kutokamilika au kuiva kinidhamu na kiuaskari ...na ukakamavu kwa ujumla...,kati ya yanayosababisha hili ni wimbi kubwa la rushwa wakati wa kuajiri,kujuana ,undugu..hasa unaohusisha kupendelea watoto wa LINE hata kama hawana sifa ..au wazazi wengine kufanya polisi ni mahali au jalala la kutupa watoto wao walioshindikana.
Tayari vikosi vya ulinzi na usalama vinachukua vijana JKT ikiwamo idara ya wanyama pori ambayo mwaka huu tu imechukua vijana 1,300 ...kila mwaka JKT inazalisha vijana 5000 kwa ajili ya soko la ajira ya vyombo vya ulinzi na usalama. Vijana hawa wameiva sana na wakipatiwa mafunzo ya Polisi pale moshi ya miezi 9 huwa bora na huwezi kulinganisha na kijana aliyookotwa maskani au kula kulala .
Wabunge wamepiga kelele sana juu ya Polisi kuendelea kupuuza agizo la AMIRI JESHI MKUU alilolirudia mwaka huu pale uwanja wa Taifa kwenye maadhimisho ya miaka 50 ya jkt...kulitaka liendelee kuwa kisima cha kupika askari..
LEO POLISI IMETANGAZA AJIRA ZAO NA KAMA KAWAIDA YAO WAO NDIO PEKEE WAMEENDELEA KUTOPITISHIA AJIRA JKT AU KUWATAKA WAOMBAJI WAWE WAMEPITIA MAFUNZO YA JKT......DHARAU ILIYOJE? WANAJUWA WAKIPITISHA HUKO HAWATAWEZA KUVUNA PESA ZA RUSHWA ZA AJIRA AU KUPITISHA WATOTO WAO MATEJA WALIOWASHIDWA KUWATUPA POLISI..AIBU!!! NA HASARA KWA TAIFA LINALOTUMIA MABILIONI KUANDAA VIJANA KWA NI NJEMA AMBAO POLISI WANAKWEPA KUWATUMIA
JWTZ
USALAMA WA TAIFA
MAGEREZA
POLISI
ZIMAMOTO
WANYAMA PORI
Vijana wanaobakia hapo watakuwa wa akiba na wanaweza kuajiriwa na Kampuni ya JKT Ya summa na wengine kuna mjadala wa kuwasaidia wawe wakulima stadi kadiri ya mafunzo yao kwa kuwapeleka vijijini na kuwapatia nyenzo za kisasa..
JESHI La Polisi miaka yote ndio limekuwa kielelezo cha kuporomoka kwa maadili kuanzia kwa vijana kupokea rushwa ,kushirikiana na majambazi ..kutokamilika au kuiva kinidhamu na kiuaskari ...na ukakamavu kwa ujumla...,kati ya yanayosababisha hili ni wimbi kubwa la rushwa wakati wa kuajiri,kujuana ,undugu..hasa unaohusisha kupendelea watoto wa LINE hata kama hawana sifa ..au wazazi wengine kufanya polisi ni mahali au jalala la kutupa watoto wao walioshindikana.
Tayari vikosi vya ulinzi na usalama vinachukua vijana JKT ikiwamo idara ya wanyama pori ambayo mwaka huu tu imechukua vijana 1,300 ...kila mwaka JKT inazalisha vijana 5000 kwa ajili ya soko la ajira ya vyombo vya ulinzi na usalama. Vijana hawa wameiva sana na wakipatiwa mafunzo ya Polisi pale moshi ya miezi 9 huwa bora na huwezi kulinganisha na kijana aliyookotwa maskani au kula kulala .
Wabunge wamepiga kelele sana juu ya Polisi kuendelea kupuuza agizo la AMIRI JESHI MKUU alilolirudia mwaka huu pale uwanja wa Taifa kwenye maadhimisho ya miaka 50 ya jkt...kulitaka liendelee kuwa kisima cha kupika askari..
LEO POLISI IMETANGAZA AJIRA ZAO NA KAMA KAWAIDA YAO WAO NDIO PEKEE WAMEENDELEA KUTOPITISHIA AJIRA JKT AU KUWATAKA WAOMBAJI WAWE WAMEPITIA MAFUNZO YA JKT......DHARAU ILIYOJE? WANAJUWA WAKIPITISHA HUKO HAWATAWEZA KUVUNA PESA ZA RUSHWA ZA AJIRA AU KUPITISHA WATOTO WAO MATEJA WALIOWASHIDWA KUWATUPA POLISI..AIBU!!! NA HASARA KWA TAIFA LINALOTUMIA MABILIONI KUANDAA VIJANA KWA NI NJEMA AMBAO POLISI WANAKWEPA KUWATUMIA