Soma vzr huyu dogo kaeleza vzr sanaMkuu wakati mwingine hata usililie sana hizo nafasi kwa sababu wanaweza wakaweka course yako ukaapply na ukaitwa vizuri tu ila maswali utakayoenda kukutana nayo kwenye written interview hutaamini macho yako
Kama hauamini uliza walioenda kufanya interview ya Operations Officers TPA maswali waliyokutana nayo ni tofauti na course zilizoorodheshwa pale kwahiyo wakati mwingine shukuru tu maana utaokoa pesa na muda
Mimi mwenyewe zamani nilikuwaga nalalamika kwanini TRA hawaweki course yangu kwenye zile nafasi zao wakati hazichezi mbali na hapo ila nilivyokujaga kuona mitihani yao nikajisemea kumbe afadhali ambavyo hawawekagi
Pigen. Simu wanarekebishamfumo wao ni wa kifala sana, mtu unakua na sifa ila inakugomea
halafu wameweka namba za simu ambazo hazipatkani, hii nchi kuna ofisi zimebeba mizigo isiyojitambua
View attachment 2249726
Tofauti ya sociology na community development ni nn??Mtoa mada unalalamika kitu ambacho sio halali yako, ulichosomea na wanaohitajika ni tofauti sana. Em angalia ulichosomea kipo kwenye hiyo post.? Acha kulalamika for nothing.
Ni kweli ajira portal wana ujinga wao ila ishu yako ww acha kulalamika, hujafanyiwa kitu kibaya.
Bila shaka wewe ni mgeni wa ajira portal, wakiandika qualifications wanataka na wewe uwe nayo kama wao walivoandika na sio vinginevyo.Tofauti ya sociology na community development ni nn??
Bila shaka wewe ni mgeni wa ajira portal, wakiandika qualifications wanataka na wewe uwe nayo kama wao walivoandika na sio vinginevyo.
Haujatoa jibu sahihi tofauti ya Sociology, Community Development bila kusahau Public Administration ni hipi?Bila shaka wewe ni mgeni wa ajira portal, wakiandika qualifications wanataka na wewe uwe nayo kama wao walivoandika na sio vinginevyo.
Hauja
Haujatoa jibu sahihi tofauti ya Sociology, Community Development bila kusahau Public Administration ni hipi?
Hao wote si huwa tunasema wamesomeq Social science kwq ujumla eeh
Nipe harakati mkuuFanya harakati zingine , boss
Interview yoyote lazima ufanye maandalizi ya kusoma mfano hata izi kazi za Utendaji wa Mtaa/Kijiji bila kusoma zile interview zao ndani ya halmashauri mzee hautoboi unaingia kwenye paper unakutana na mapicha picha tu.. hata mm niikitwa kwenye interview lazima nisome kwanzaMkuu wakati mwingine hata usililie sana hizo nafasi kwa sababu wanaweza wakaweka course yako ukaapply na ukaitwa vizuri tu ila maswali utakayoenda kukutana nayo kwenye written interview hutaamini macho yako
Kama hauamini uliza walioenda kufanya interview ya Operations Officers TPA maswali waliyokutana nayo ni tofauti na course zilizoorodheshwa pale kwahiyo wakati mwingine shukuru tu maana utaokoa pesa na muda
Mimi mwenyewe zamani nilikuwaga nalalamika kwanini TRA hawaweki course yangu kwenye zile nafasi zao wakati hazichezi mbali na hapo ila nilivyokujaga kuona mitihani yao nikajisemea kumbe afadhali ambavyo hawawekagi
Ndio n kitu kimoja lkn kwa ajira portal sio kitu kimojaHaujatoa jibu sahihi tofauti ya Sociology, Community Development bila kusahau Public Administration ni hipi?
Hao wote si huwa tunasema wamesomea Social science kwa ujumla eeh?
Umeeleza ukweli mkuu.Ndio n kitu kimoja lkn kwa ajira portal sio kitu kimoja
Ndio hvy mkuu, ajira portal wana ujinga mwingi. Hvy mtoa mada hata asilalamike awe mpole tuu, kwa ambaye hajaizoea hii system ataona ameonewa sana ila sisi wengine tumeshapigwa za uso hadi tumeshazoea.Umeeleza ukweli mkuu.
Mwenyewe nimekumbana na hichi kitu, nafasi imetolewa nina sifa ila kwenye maelezo ya ajiraportal walipoandika "Shahada"(kiswahili) system inatafsiri "Diploma"(kiingereza). Mimi nina shahada nikiapply inagoma.
Kuna nafasi nyingine wamenyosha maelezo, nimeapply imeenda poa.
Kwa hiyo maelezo ya mfumo ndio yanakufanya uweze au usiweze kuapply.
Daah so sadNdio hvy mkuu, ajira portal wana ujinga mwingi. Hvy mtoa mada hata asilalamike awe mpole tuu, kwa ambaye hajaizoea hii system ataona ameonewa sana ila sisi wengine tumeshapigwa za uso hadi tumeshazoea.
Nafikiri wewe ndiyo hujanielewa mkuuSoma vzr huyu dogo kaeleza vzr sana
Mkuu umeelewa lakini comment yanguInterview yoyote lazima ufanye maandalizi ya kusoma mfano hata izi kazi za Utendaji wa Mtaa/Kijiji bila kusoma zile interview zao ndani ya halmashauri mzee hautoboi unaingia kwenye paper unakutana na mapicha picha tu.. hata mm niikitwa kwenye interview lazima nisome kwanza
Sio we peke ako me nmejaribu tuma nmesoma human resource imegoma hadi nmejichokea asa sielew wanataka kozi zipi?Jamani hawa ajira portal ni wakatili sana, nashindwa kuwaelewa kwanini wanakuwa na ubaguzi kiasi hiki..
Soma kwa makini izo qualifications na hapo kuna kitu wameandika from any equivalent qualifications lakini wananikataa mimi wa Community Development.. kweli jamani Sociology, Law, Public Administration sio Equivalent na Community Development!!
Hawa ajira portal wanajua kukatisha tamaa watu kuhusu ndoto za kuajiriwa, Mh. Rais Samia naomba sikia kilio hiki Waziri Jenista Mhagama sikia kilio hiki mama 😢ðŸ˜ðŸ˜
nimeumia sana kama kijana mwenye ndoto za kuajiriwa na serikali yangu pendwa. Yatapita tu 🇹🇿 Nakupenda Tanzania.
View attachment 2249732
Jamani hawa ajira portal ni wakatili sana, nashindwa kuwaelewa kwanini wanakuwa na ubaguzi kiasi hiki..
Soma kwa makini izo qualifications na hapo kuna kitu wameandika from any equivalent qualifications lakini wananikataa mimi wa Community Development.. kweli jamani Sociology, Law, Public Administration sio Equivalent na Community Development!!
Hawa ajira portal wanajua kukatisha tamaa watu kuhusu ndoto za kuajiriwa, Mh. Rais Samia naomba sikia kilio hiki Waziri Jenista Mhagama sikia kilio hiki mama 😢ðŸ˜ðŸ˜
nimeumia sana kama kijana mwenye ndoto za kuajiriwa na serikali yangu pendwa. Yatapita tu 🇹🇿 Nakupenda Tanzania.
n