Ajira Portal inahitaji mabadiliko, inakatisha ndoto za vijana wengi kwenye kuomba ajira

Posts 2 zenye course nilosoma na imekua mentioned kabisa kwenye qualifications zinazohitajika, lakini kila nikitaka fanya Application naandikiwa Job Application Failed na kwamba niangalie vizuri Degree zinazohitajika. Sasa kama kuna watu ambao tayari wamewa target ni bora wasiwe wanatangaza hizi post. Inakera.
 
jaribu ku update kwenye acedemic qualifications. ikishindika add tena itakubali.
 
Kama leo wametangaza ajira but zingine hazipo kwenye mfumo ila kwenye tangazo zipo.Kwa mfano kwenye tangazo HESLB ipo na wanataka watumishi 48 but ukifungua portal hamna, ipo nafasi 1 tu ya mtu wa procurement.

Hawaeleweki kabisaaaa,bora kutuma kwa posta.Warudishe watu watume kwa posta
 
Msiwe mnasoma kozi za ajabu ajabu
Sawa mkuu. Heri yenu mlosoma kozi nzuri, maana mna enjoy life.
Kozi za ajabu tulizosoma ndio zimeekwa kwenye list ila mfumo wao ndio miyeyusho. Saa hii hata tovuti yao haipatikani hewani.
 
Kwema wa ndugu,

Binafsi nilikuwa naomba msaada kwa yeyote anayefahamu kujiunga maana mie nimefungua mwanzoni nimeweka email yangu na wakanitumia email ya kuactivate shida ilianza hapa kwenye kuactivate mara iandike failed to activate au nikijaribu na email nyingine inaambia activated na ukitaka kulog in ili uweze kuendelea na mambo mengine inanianikia incorrect sasa inakuaje hapo wataalam wanao fahamu
 
Wakuu msaada wa mawazo,kila nikijaribu kufungua account Ajira portal naambiwa Temporarily Locked Out. Try again later.

Sasa nashindwa kuelewa ni nini shida?

Hatua zote nimezifuata kwa makini katika kujiunga na nikatumiwa Email kuwa Please click this link to Activate your account. Nikafanya hivo haifunguki bali inaniletea namba na herufi niingize tena.Lakini hata nikifanya hivyo inagoma.

Option zote nimejaribu inagoma, sijui nini cha kufanya baada ya hapo. Mawazo yenu please.

Asanteni.
 
Namimi pia nimeshindwa kabisa kulog in, nimejaribu option ya forgot password ila sijatumiwa email ya kuactivate 🙄 ngoja waje watupe muongozo.
 
Namimi pia nimeshindwa kabisa kulog in, nimejaribu option ya forgot password ila sijatumiwa email ya kuactivate [emoji849] ngoja waje watupe muongozo.
Aaah nahisi kuna mbinu mbinu mama.Very disappointing sn.

Vip kwema lakini?afya yako vip?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…