Ajira Portal inahitaji mabadiliko, inakatisha ndoto za vijana wengi kwenye kuomba ajira

Ajira Portal inahitaji mabadiliko, inakatisha ndoto za vijana wengi kwenye kuomba ajira

Mi nimewaza mbali kidogo. Nadhani iko hivi; mwanafunzi anaemaliza form six na kwenda direct chuo kikuu anakutana na mwenzake aliyemaliza form 4 na kwenda kusoma diploma the anaingia chuo kikuu kwa equivalent, so kwa nyakati za hivikaribuni imeluwa style kwa wazazi wengi kuwapitisha watoto wao hii njia ya kuanza kusoma diploma then chuo hata kama mtoto kafaulu sana form4, wakiamini kama njia ya uhakika kuliko ile ya form 6 ambayo ikitokea mtoto kafeli form 6 inakuwa kama kapoteza mda!. Pia advantage nyingine kwa huyu anaepitia diploma anakuwa na option 2 za kuomba kazi ya degree au diploma. Tofauti na huyu digree ambaye itabidi asubiri hadi nafasi za digree zitangazwe!. So serikali baada ya kushtukia huu mchezo wakamua kuwabana hawa wa equivalent qualification za diploma wakati huo wana digree kuomba kazi za diploma!!..
 
Simply umeover qualify, acha wenye diploma waombe kazi zao na wewe wa degree omba za degree, simple.
 
Mi nimewaza mbali kidogo. Nadhani iko hivi; mwanafunzi anaemaliza form six na kwenda direct chuo kikuu anakutana na mwenzake aliyemaliza form 4 na kwenda kusoma diploma the anaingia chuo kikuu kwa equivalent, so kwa nyakati za hivikaribuni imeluwa style kwa wazazi wengi kuwapitisha watoto wao hii njia ya kuanza kusoma diploma then chuo hata kama mtoto kafaulu sana form4, wakiamini kama njia ya uhakika kuliko ile ya form 6 ambayo ikitokea mtoto kafeli form 6 inakuwa kama kapoteza mda!. Pia advantage nyingine kwa huyu anaepitia diploma anakuwa na option 2 za kuomba kazi ya degree au diploma. Tofauti na huyu digree ambaye itabidi asubiri hadi nafasi za digree zitangazwe!. So serikali baada ya kushtukia huu mchezo wakamua kuwabana hawa wa equivalent qualification za diploma wakati huo wana digree kuomba kazi za diploma!!..
You're wrong, hilo ni tatizo la mfumo tu. Lazima ujifunze kucheza na mfumo wa portal.
 
Nyuzi zote watu wanazoleta kuhusu Ajira Portal ina maana kuna watu hawazioni kabisa. Ile system ni ya kishamba sana ina hitaji major changes kwa kweli
 
Mkuu kipi kimekusibu haswa...maana huenda changamoto uliuonayo suluhu yake ikapatkana hapa hapa kwenye kisima Cha maarifa...jf...maana mbona wengi wanatesa tu...
mjomba apo utakuta category husika imemtema yeye ana computer engineering anomba system administrator wanataka computer science, IT au ICT eti computer engineering hana vigezo daaa psrs hawa

kuna raia kasoma business admnistration nilikua namuombea nafasi TRA eti kwenye nafasi ya customs officer category wameinclude business administration ila ukiomba nafasi ya tax management officer inagoma business administration inakua excluded sasa unafikoria hawa psrs wametumia vigezo gani kuweka bussiness administration kwenye nafasi ya customs hlf tax managemnet hawajawek daaa systeam yao haifai kabisaaa
 
Wakuu na vipi ikitokea una diploma, say, IT na degree, say, Accounting. Ikitokea ajira ya IT na ukaaply, system itakutema kwa kuwa una degree ya Accounting?
 
Ajiraportal ni trash.....
Tafuta web developers wazuri wenye uzoefu wa Modern Tech stack
Wape budget nzuri.. Na ndani ya mwezi mmoja wata rewrite ile takataka completely na kuwapa users system itakayopongezwa na yoyote
Website ya Government na imeshindwa ku afford hata Free SSL
 
Hii kero ya accounts za ajira portal nani anazitatua mbona kama imeundwa kutupa vikwazo tu lengo hasa ni lipi hasa maana hakuna mawasiliano nao mbona tunapelekana ovyo sana wadau
Hakika inasumbua sana na inachosha, mara nyingi unakutana na ujumbe application failed!,
Nimefatilia sana hasa nilipojaribu kuwasiliana na huduma kwa wateja kwa namba zilizoweka website lakini sikuweza kufanikiwa kuwapata.
Nimejifunza kitu kimoja kwenye kujaza academic qualification kabla ya box kwa ajili ya kuchagua kozi yako kuna kuchagua cadre, hapa ndiyo mhimu na system ndiyo huwa inafanya logic check
Kwa hiyo cheza na hiyo part kama unaona nafasi una sifa harafu ukiapply inafail.
Badili candre zingatia ukishuka sehemu inayofata hakikisha unaona cozi yako.
Ahsante sana
 
Naomba msaada tafadhali.

Nilifungua account ya ajira portal ila wakati nafungua mtandao ulikuwa unasumbua nikajikuta nimeandika academic qualifications zinazofanana mara mbili kjwa wakat mmoja. sasa na mojawapo ya academic qualification ya form six niliandika SXXXX.YYYY badala ya SXXXX-YYYY.

Sasa kila nikitaka kuapply naambiwa change your index number SXXXX.YYYY to SXXXX-YYYY. Ila nikianza kubadilisha index number naambiwa multiple index number available na siwez kudelete.

Naomba msaada tafadhali jinsi gani naweza kubadirisha hyo index number au kufuta hizo multiple additions nibakize moja tu
 
mjomba apo utakuta category husika imemtema yeye ana computer engineering anomba system administrator wanataka computer science, IT au ICT eti computer engineering hana vigezo daaa psrs hawa

kuna raia kasoma business admnistration nilikua namuombea nafasi TRA eti kwenye nafasi ya customs officer category wameinclude business administration ila ukiomba nafasi ya tax management officer inagoma business administration inakua excluded sasa unafikoria hawa psrs wametumia vigezo gani kuweka bussiness administration kwenye nafasi ya customs hlf tax managemnet hawajawek daaa systeam yao haifai kabisaaa
Na tunapo elekea naona watu walio somea Business in Administration itakuwa hawaitwi tena kwa hali hiyo mkuu.
 
Fuata tu maelezo mfano kuna sehemu ktk hiyo namba ya mtihani ustumie nukta mf. S9999.9999 badala yake tumia hiv S9999-9999
 
Back
Top Bottom