Ajira Portal inahitaji mabadiliko, inakatisha ndoto za vijana wengi kwenye kuomba ajira

Lakini tukikuajiri kwa diploma baadae usituletee degree yako... tukubaliane.
 
Hizi options za kuedit hauzipati mkuu?

View attachment 2188033
Hio seem ya edit ipo na kila nikifanya edit hayo ndio majibu nayo yapat hio niliweka Alama ya X zina vet org Ila kuedit uwek certified zimegoma imebid kurudua kujaz upy na kuweka upy certified na hio ya lev ya kdt cha 6 kufuta nimeshindwa nilikosea kuweka namna ya kuondoa nimeshindwa kbsa nikurudia kuweka level ya kdt cha4 baambiwa tayri ipo
Msaada wenu
 

Attachments

  • Screenshot_20240727-144024.png
    83.4 KB · Views: 12
  • IMG_20240726_215137_386.jpg
    71.3 KB · Views: 12
Picha ya kwanza n umeweka document kwa format isiyo sahihi, hakikisha iwe pdf.

Picha ya pili kulikuwa hakuna haja ya kurudia, unge-edit tuu kwa kutoa cheti ambacho hakina mhuri kwa kuweka kilicho na mhuri na ingekubali vzr tuu.

Kwenye hii ishu nakulaumu mwnyw kwa kushindwa kuwa makini.
 
Wakuu nataka kuedit iyo diploma niweke certificate nikijaribu progamme niliyosoma haiji
 

Attachments

  • Screenshot_20240727-183519.png
    70 KB · Views: 6
  • Screenshot_20240727-184111.png
    63.5 KB · Views: 9
Apo nifanyeje ss ndg nisaidie maan at cmdocoment zote zip kwenye mfumo wa pdf
 
Document zote zipo mfumo wa PDF naomb nikutafute private km unaweza nisaidia
 
Forget anything I wrote.

Ajira portal imefungwa so mtu huwezi ondoa chochote kilichozidi.

Editing wanafanya wao wenyewe tu.

Kama upo Dar nenda Kivukoni Utumishi wakueditie.

Kama una dip na degree na unataka kutoa degree ibaki dip wanagoma
 
Nimefanikisha ndg asnte kwa ushauri
Forget anything I wrote.

Ajira portal imefungwa so mtu huwezi ondoa chochote kilichozidi.

Editing wanafanya wao wenyewe tu.

Kama upo Dar nenda Kivukoni Utumishi wakueditie.

Kama una dip na degree na unataka kutoa degree ibaki dip wanagoma
 

Attachments

  • Screenshot_20240730-221234.png
    60.2 KB · Views: 9
Katika ku scan vyeti , kijana aliunganisha transcript mbili , ya certificate na diploma. Akitaka kuomba nafasi ya diploma inakataa maana vyeti vimeunganishwa. Amejaribu kuvitoa inashindikana. msada wa kuvitoa ili aanze upya kwa nafasi za diploma. Unavitoa (withdraw) kwa njia ipi?taka
 
Sytem haikatai kubadili documents, system inakataaga kubadili level yako ya elimu.


Huyo kijana level ya elimu aliyoweka ndiyo inamfunga, wala siyo document aliyoupload.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…