Tuliwahi kuuliza swali kama hili hatukupatiwa majibu hadi leo. Wizara ya nishati, madini, ujenzi, mawasiliano, maendeleo ya jamii, fedha,maji, mifugo na kilimo nafasi za ajira mbona hazitolewi kwa mfuko huu,mbona hazitangazwi?
Mashirika kama tanesco,tpdc,ewura,Pura, bima,bot, tra, veta,puma, na kadhalik mbona hawatangazi nafasi za waliosome degree na kuendelea? Ukisikia nafasi imetangazwa ni nafasi ya mtunza kumbukumbu au katibu mhutasi.
Bachelor of science in rural development, unakwenda kujiajiri au kuajiriwa? Degree zingine zipo tu ili malecturer wapate mishahara na kujiendeleza ili watape PhD