Ajira Serikali: Kwa tafsiri ya Serikali, ajira ni za walimu na watu wa afya pekee au?

Kila mtu hulia na mama yake, hongereni mliosomea Education na health hatuna husda.
 
Boss mbona una hasira sana. Una taaluma gani ?
 
Mfano, lini ajira portal walitangaza nafasi za kazi BOT tangu mwaka 2015? Huko BOT watumishi hawastaafu?hawafi? Hakuna vitengo vipya muda wote huo
Naongezea na NIMR , TMDA ........

Binafsi napendekeza na hao waingie kwenye mfumo wa ajira portal.... ili kuondoa manung'uniko kwenye ajira za hao jamaa.
 
Ajira ni kwa sekta mbalimbali, lakini elimu na afya ndiyo kipaumbele namba moja katika ajira kutokana na uhitaji wao kwa uwingi.
 
Ajira ni kwa sekta mbalimbali, lakini elimu na afya ndiyo kipaumbele namba moja katika ajira kutokana na uhitaji wao kwa uwingi.
Nonesense , mfano uhandisi , Mahitaji bado hi makubwa nchi hii Ila utashangaa ajira ni miaka mingi sasa imepita tangu serikali iajiri
 
Nonesense , mfano uhandisi , Mahitaji bado hi makubwa nchi hii Ila utashangaa ajira ni miaka mingi sasa imepita tangu serikali iajiri

Basi endelea kulia na uhandisi wako, walimu wanahitajika kila kona hasa shule za vijijini, sasa niambie mhandisi anahitajika kila kijiji kufanya nini! The mhandisi here will seem surplus to the requirements in the pecking order! Upo hapo au bado umeupuna usingizi!
 
Kwa wale wa VETA ,Technician Mwenye FTC au Diploma analipwa bei gani? Kuna tangazo la ajira za walimu wa Veta sasa nimeulizwa na mtu nimeshindwa kujibu.
 
Theory of demand and supply ndio inatumika apo
Halimashauri mwanasheria ni moja


Hospital inafanya kazi masaa 24 ko staffing yake ni kubwa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…