AJIRA: Utengenezaji wa sabuni ya mche

kaka-blaza

Member
Joined
Nov 7, 2019
Posts
96
Reaction score
141
wakuu habari ya wakati huu.


naomba kwa yeyote mwenye uzoefu au elimu kuhusu utengenezaji wa sabuni ya mche anidadavulie hapa.

pia je, Ajira hii inafaida kiasi gani . inalipa au malighafi zake ni ghali sana hivyo kufanya kuwa kiwanda chenye kuzalisha hasara kuliko faida.


Asanteni . nangoja maoni, ushauri na mawazo yenu enyi wajasiriamali wenzangu.
 
Ukichukuwa caustic soda ukichanganya na mafuta ukachemsha hiyo ni sabuni ya kipande tayari, chemsha mwaga huo mchanganyiko kwenye moulds yako tayari
 
Ni tayari kweli na sio utani chukua mafuta lita 1,weka ndani yake vijiko viwili vya caustic soda changanya chemsha, huku ukikoroga itabadilika rangi pour into moulds
sawa. sasa ninachotaka kujua, je gharama za vifaa(malighafi) zikoje ukichukulia na bei za sabuni baada ya kuitengeneza. yan hiyo kuna faida inayopatikana, au ndio mtaji na bei ya bidhaa vinaenda sambamba
 
sawa. sasa ninachotaka kujua, je gharama za vifaa(malighafi) zikoje ukichukulia na bei za sabuni baada ya kuitengeneza. yan hiyo kuna faida inayopatikana, au ndio mtaji na bei ya bidhaa vinaenda sambamba
Mtego wa biashara hii upo kwenye kupata mafuta kwa bei ya chini kadri uwezavyo ili kupata faida kubwa.
Mf:mawese damu la liter 20 huuzwa kwa shs 60,000/-ukilipata kwa 30,000 ni bora zaidi
 
Mtego wa biashara hii upo kwenye kupata mafuta kwa bei ya chini kadri uwezavyo ili kupata faida kubwa.
Mf:mawese damu la liter 20 huuzwa kwa shs 60,000/-ukilipata kwa 30,000 ni bora zaidi
na hilo dumu la lita 20 linaweza kutoa miche mingapi ya sabuni.
 
Dabuni inalipa Sana ndungu na mtaji wake no mafuta ya mawese au mise tuu huo ndo myaji caustic soda na sodium silcate kupata ni rahisi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…