kaka-blaza
Member
- Nov 7, 2019
- 96
- 141
wakuu habari ya wakati huu.
naomba kwa yeyote mwenye uzoefu au elimu kuhusu utengenezaji wa sabuni ya mche anidadavulie hapa.
pia je, Ajira hii inafaida kiasi gani . inalipa au malighafi zake ni ghali sana hivyo kufanya kuwa kiwanda chenye kuzalisha hasara kuliko faida.
Asanteni . nangoja maoni, ushauri na mawazo yenu enyi wajasiriamali wenzangu.
naomba kwa yeyote mwenye uzoefu au elimu kuhusu utengenezaji wa sabuni ya mche anidadavulie hapa.
pia je, Ajira hii inafaida kiasi gani . inalipa au malighafi zake ni ghali sana hivyo kufanya kuwa kiwanda chenye kuzalisha hasara kuliko faida.
Asanteni . nangoja maoni, ushauri na mawazo yenu enyi wajasiriamali wenzangu.