DOKEZO Ajira walizotoa TAMISEMI, Januari 2024 hatujapata mshahara hadi leo na haieleweki lini tutalipwa

DOKEZO Ajira walizotoa TAMISEMI, Januari 2024 hatujapata mshahara hadi leo na haieleweki lini tutalipwa

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
Mkuu tunasaidia , Hatuko hapa kutengeneza matatizo
Kuwa mvumilivu, serikalini hakuna dhulama ya sitahiki za mtumishi ila kuna kucheleweshewa tu kwa muda kidogo kisha haki yako unaipata.
 
mhh pole sana ulitaka ulipwe kabla hujafanya kazi? kwani ulipokua hujaajiriwa uliishije jifunze ukakamavu vijana mmekaa kizembe lala njaa siku tatu ndio ulie lie na hapo siku tano nyuma umekula nyama ya kenge mijusi sio unakula chipsi unaandika uzi...

kipindi nipo chuo kuna jamaa alipanga tulipokua tumepanga sisi wanachuo na yeye alikua kaajiriwa ndio mpyaaaaaaa haelewi hili wlaa lile mwanzo alianza kwa mbwembwe akijua hela inakuja tukimkaribisha cha usiku tumetoa kitu na mwanangu anatukataa ikafika stage akawa anatuomba tumstue muda wa kula badae akashika usukani alikuja kuchoka alipojua nyama tunazokula mda mwingine ni kenge au nungu nungu singida napapenda kuna kenge wengi kwenye mawe sisi kuwakamata na kutoa rost ni kitu ya kawaida.
jamaa akauliza kwann mnakula hivi hatukuwa na majibu ila tulimuuliza kabla hujajua si ulienjoy akabakikusema dah ndio maana nilikua nasita kula na nyie....

jamaa alipataga shavu akavutwa na wazungu now yupo Denmark anakula maisha alishatutumia picha ya kenge mkubwa anasema hatotusahau ilibidi nimuachie mwanangu tuliekua tunakaa hostel moja
Kuhusu Nyama ya kenge watu wanaipenda sana kwanini?

Nimeona hata baadhi ha sehemu nyama Ya Mamba ikiuzwa ghali sana?
Hivi ni Tamu kweli?
 
Kuwa mvumilivu, serikalini hakuna dhulama ya sitahiki za mtumishi ila kuna kucheleweshewa tu kwa muda kidogo kisha haki yako unaipata.
Nop ajira yake kiserkali inaweza kusoma hata mwezi wa Tatu inategemea alifika lini kazini..
Kama alifika mwezi wa Pili kati kati ongeza wiki mbili za maandalizi..
So obvious Ajira yake itakuwa inasoma kuanzia 20 mwezi wa Pili (Asome barua yake ya Ajira imeandika Lini)

So kama kaajiriwa mwezi wa Pili mshahara bado..
 
  • Thanks
Reactions: K11
mhh pole sana ulitaka ulipwe kabla hujafanya kazi? kwani ulipokua hujaajiriwa uliishije jifunze ukakamavu vijana mmekaa kizembe lala njaa siku tatu ndio ulie lie na hapo siku tano nyuma umekula nyama ya kenge mijusi sio unakula chipsi unaandika uzi...

kipindi nipo chuo kuna jamaa alipanga tulipokua tumepanga sisi wanachuo na yeye alikua kaajiriwa ndio mpyaaaaaaa haelewi hili wlaa lile mwanzo alianza kwa mbwembwe akijua hela inakuja tukimkaribisha cha usiku tumetoa kitu na mwanangu anatukataa ikafika stage akawa anatuomba tumstue muda wa kula badae akashika usukani alikuja kuchoka alipojua nyama tunazokula mda mwingine ni kenge au nungu nungu singida napapenda kuna kenge wengi kwenye mawe sisi kuwakamata na kutoa rost ni kitu ya kawaida.
jamaa akauliza kwann mnakula hivi hatukuwa na majibu ila tulimuuliza kabla hujajua si ulienjoy akabakikusema dah ndio maana nilikua nasita kula na nyie....

jamaa alipataga shavu akavutwa na wazungu now yupo Denmark anakula maisha alishatutumia picha ya kenge mkubwa anasema hatotusahau ilibidi nimuachie mwanangu tuliekua tunakaa hostel moja
Mbona vijana wanalaumiwa sana
 
Back
Top Bottom