Pole sana ndugu yangu ,ilo swala lako ngumu sana .nina uzoefu na hyo kitu kwa sasa bila vyeti wala transcript jiandae kukosa mshahara.nina ndugu yangu kakutana na janga kama lako kapoteza muda na pesa kibao huko tamisemi ila aliambulia patupu tangu mwaka jana.kinachohutajika ni namba za cheti na transcript,utumishi hawawezi kukusaidia kwenye matatizo yako na chuo.anza kusaka plan B mapema coz siku yyte wanasitisha salary.pole sana