Ajira ya online: Unaweza kuandika Kiingereza, unayo laptop au computer na unayo access ya internet?

Ajira ya online: Unaweza kuandika Kiingereza, unayo laptop au computer na unayo access ya internet?

Yaani.msisitizo upo kwenye kuwa na kazi....?

Yaani km una kazi usiombe.,Nyie jamaa nyie Mungu anawaona mjue,Yaani.mnasisitiza kabisa usiwe na kazi halafu mshahara 200K kwa mwezi eti ukifanya kazi vizuri itapanda hadi 300K..Kuweni serious na sio muendendeshe maisha yenu kwa jasho la wengine..

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Yaani.msisitizo upo kwenye kuwa na kazi....?

Yaani km una kazi usiombe.,Nyie jamaa nyie Mungu anawaona mjue,Yaani.mnasisitiza kabisa usiwe na kazi halafu mshahara 200K kwa mwezi eti ukifanya kazi vizuri itapanda hadi 300K..Kuweni serious na sio muendendeshe maisha yenu kwa jasho la wengine..

Sent using Jamii Forums mobile app
Itawafaa wale wanaojishikiza kwa muda... Si unajua sahivi suala la ajira ni tatizo halafu qualifications za kawaida tu sio zile za mwanachuo.
 
Naona mmechelewa na dau limefika saivi mshahara 500,000/= kwa mwezi.
Mimi nimeshaajiriwa ila nataka nirudi tanga mama anaumwa nikamtunze.
Kama unataka kunireplace njoo pm na chochote kile
 
Back
Top Bottom