Buheri Wadau,
Madayaspora mlio ng'ambo hasa nchi za Scandinavia au mnaofahamu na kujihusisha na kuonganisha wafanyakazi nje kwa mikataba mifupi,
Naomba kuonganishwa na agency wanaofanya recruitment ya wafanyakazi Mashambani ( kuvuna na kupanda strawberries, cabbage n.k).
Ninashukuru kwa ushirikiano wenu.
Mkuu hawachukui kabisa wafanyakazi kutoka Africa namaanisha subsahara huko mashambani. Vibarua wengi wanatoka raia wa Ukraine, Poland na nchi zingine za eastern European.
Nje ya ulaya wanawachukua kila mwaka raia kutoka Thailand na Sri Lanka wanapewa working visa ya miezi sita.
Mwaka jana na mwaka huu hali ilikuwa mbaya kwasababu ya Corona.
Wapoland, Lithuanian, Latvians na Estonian wana weledi wa hali ya juu kwenye kuchuma berries, mboga na apples.
Pia huko Spain wamoroccow wengi uingia Spain kwenye Vibarua vya kuchuma apple.
Raia wa Uingereza walijaribu kuchuma cabbage na matunda walishindwa kabisa baada ya kufanya siku moja baada ya kuwa na uhaba wa wafanyakazi
Tatizo nigger akipewa visa kwenda kuchuma berries ama matunda anakuwa ni mihemko siku za kwanza kwana anajituma baada ya mwezi anachoka na kuingia mitini.
Hapa manigger wengi hata kazi ya kufagia tu nigger mvivu anafanya kama anasukumwa. Ndo maana hizi kazi uchwara kama kifagio niggers tunanyimwa sana siku hizi wanapendelea kuwapa eastern European, Bangladeshi, nepalese iyo jamii. Niggers wengi kwenye kifagio yani sijui ni mimi tu ndo na weledi
Sisi niggers hadi tufanye kazi iwe na ufanisi tunahitaji close supavishen ikiambatana na mkong'oto wa nguvu ili tija iwepo. Na hii mjeeumani aliiweza sana