Ajira za Mashambani Finland ( Scandinavia countries)

Ajira za Mashambani Finland ( Scandinavia countries)

Buheri Wadau,

Madayaspora mlio ng'ambo hasa nchi za Scandinavia au mnaofahamu na kujihusisha na kuonganisha wafanyakazi nje kwa mikataba mifupi,

Naomba kuonganishwa na agency wanaofanya recruitment ya wafanyakazi Mashambani ( kuvuna na kupanda strawberries, cabbage n.k).

Ninashukuru kwa ushirikiano wenu.
Kama kuna mchongo wa kuwa mganga wa kienyeji huko, mtaalamu wa kukata vimeo, naomba unipe konekshwaaaa
 
Mkuu sikiza Mimi hizi habari nilizipata kwa jamaa angu ambaye yet alikua akienda karibia kila mwaka before Corona, tatizo la jamaa ni chapombe pia nadhani ameharibu connection maana Kesha nila saana pesa zangu aniunganishie na agent wake bila mafanikio.
Kwa hivo nakataa kusema ma niggars hatuna nafasi Seema tunakatabia Cha kubaniana tu yaan roho ya korosho wanasema
Jamaa alicho elezea ni kweli kabisa
 
Ungeona bei ya kilo mahindi anayolipwa mkulima baada ya mavuno na gharama za mbolea , pamoja na utayarishaji wa shamba , usingeandika hiki ulichoandika.
Kilimo ni moja ya kazi ngumu sana , sio rahisi,
Mimi naomba kuuliza tu. Hivi hapa Tanzania tunayo Sera ya Kilimo? Maana huwa nafahamu kuwa upo ule mpango unaoitwa ASDP.
 
Mapori yapo lakini ukilima mazao yanaozea shambani. Hakuna utaratibu mzuri wa kusafirisha mazao na hakuna soko la uhakika.
Kwa ujumla gharama za uzalishaji ni kubwa mno kutoka kuandaa shamba kuvuna hadi kusafirisha. Hapa Serikali haijatia mguu wake kabisa.
 
Ni mwongozo sio muongozo.
Nilikuwa na lengo la kupata utaratibu wa jumla kutokana na swali husika
IMG_20210902_103009.jpg

IMG_20210902_102938.jpg
 
Back
Top Bottom