Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 76,107
- 160,001
Kama kuna mchongo wa kuwa mganga wa kienyeji huko, mtaalamu wa kukata vimeo, naomba unipe konekshwaaaaBuheri Wadau,
Madayaspora mlio ng'ambo hasa nchi za Scandinavia au mnaofahamu na kujihusisha na kuonganisha wafanyakazi nje kwa mikataba mifupi,
Naomba kuonganishwa na agency wanaofanya recruitment ya wafanyakazi Mashambani ( kuvuna na kupanda strawberries, cabbage n.k).
Ninashukuru kwa ushirikiano wenu.
Jamaa yako Kesha tuchomolea betriNgoja nimuite Maghayo ataweza kutupatia muongozo na ushauri murua kuhusu huko ughaibuni
Kwani wenzetu kilimo Chao ni was kutumia UTI wa mgongo Kama sisi?UpMapori yapo lakini ukilima mazao yanaozea shambani. Hakuna utaratibu mzuri wa kusafirisha mazao na hakuna soko la uhakika.
Hio saudia babaKama kuna mchongo wa kuwa mganga wa kienyeji huko, mtaalamu wa kukata vimeo, naomba unipe konekshwaaaa
Jamaa alicho elezea ni kweli kabisaMkuu sikiza Mimi hizi habari nilizipata kwa jamaa angu ambaye yet alikua akienda karibia kila mwaka before Corona, tatizo la jamaa ni chapombe pia nadhani ameharibu connection maana Kesha nila saana pesa zangu aniunganishie na agent wake bila mafanikio.
Kwa hivo nakataa kusema ma niggars hatuna nafasi Seema tunakatabia Cha kubaniana tu yaan roho ya korosho wanasema
Unawezakana ila sio kwakiwango ichoJamaa alicho elezea ni kweli kabisa
Mimi naomba kuuliza tu. Hivi hapa Tanzania tunayo Sera ya Kilimo? Maana huwa nafahamu kuwa upo ule mpango unaoitwa ASDP.Ungeona bei ya kilo mahindi anayolipwa mkulima baada ya mavuno na gharama za mbolea , pamoja na utayarishaji wa shamba , usingeandika hiki ulichoandika.
Kilimo ni moja ya kazi ngumu sana , sio rahisi,
Kwa ujumla gharama za uzalishaji ni kubwa mno kutoka kuandaa shamba kuvuna hadi kusafirisha. Hapa Serikali haijatia mguu wake kabisa.Mapori yapo lakini ukilima mazao yanaozea shambani. Hakuna utaratibu mzuri wa kusafirisha mazao na hakuna soko la uhakika.
Ni mwongozo sio muongozo.Ngoja nimuite Maghayo ataweza kutupatia muongozo na ushauri murua kuhusu huko ughaibuni
Nilikuwa na lengo la kupata utaratibu wa jumla kutokana na swali husikaNi mwongozo sio muongozo.
neno muongozo nafikiria mzizi wake tunaupata katika kitenzi ongoza.Ni mwongozo sio muongozo.