Ajira za muda mfupi Manispaa ya Temeke, Rushwa imerudi kwa kasi

Ajira za muda mfupi Manispaa ya Temeke, Rushwa imerudi kwa kasi

Ikitotanzila

JF-Expert Member
Joined
Sep 22, 2020
Posts
1,409
Reaction score
2,263
Kuna ajira zimetagazwa za muda mfupi hapa Manispaa ya Temeke lakini ni rushwa kwa kwenda mbele mpaka upate.

Watendaji wa kata wana majina yao na wanatamba sana kuwa wanao-appply wanapoteza muda maana wao ndio wana majina.

Sasa mpaka kumshawishi mtendaji aingize jina lako lazima mlungura upitike
 
Kuna ajira zimetagazwa za muda mfupi hapa Manispaa ya Temeke lakini ni rushwa kwa kwenda mbele mpaka upate.

Watendaji wa kata wana majina yao na wanatamba sana kuwa wanao-appply wanapoteza muda maana wao ndio wana majina.

Sasa mpaka kumshawishi mtendaji aingize jina lako lazima mlungura upitike
Umeambiwa utakula Kwa urefu wa kamba Yako unalalamika nini?
 
Rushwa haijawahi kuisha
Na haitakiwi kuisha, ikiisha tu mambo yatakwenda hovyo

Tunao lalamika ubaya wa rushwa ni wale ambao hatuwezi toa rushwa

Nikiwa na nafasi ya kutoa rushwa kwA tz natoa aseeh kuna wapuuzi hawaelewi somo ukijifanya mfata sheria na haki
 
Kuna ajira zimetagazwa za muda mfupi hapa Manispaa ya Temeke lakini ni rushwa kwa kwenda mbele mpaka upate.

Watendaji wa kata wana majina yao na wanatamba sana kuwa wanao-appply wanapoteza muda maana wao ndio wana majina.

Sasa mpaka kumshawishi mtendaji aingize jina lako lazima mlungura upitike

Wewe endelea kulalamika wenzako wanapiga kazi na maisha yanaenda
 
Back
Top Bottom