Ikitotanzila
JF-Expert Member
- Sep 22, 2020
- 1,409
- 2,263
Mataga utawaweza basi!Ni lini nchi hii rushwa haikuwepo!
Ova
Mataga utawaweza basi!
Atakwambia wakati wa magu rushwa haikuwepo.
Umeambiwa utakula Kwa urefu wa kamba Yako unalalamika nini?Kuna ajira zimetagazwa za muda mfupi hapa Manispaa ya Temeke lakini ni rushwa kwa kwenda mbele mpaka upate.
Watendaji wa kata wana majina yao na wanatamba sana kuwa wanao-appply wanapoteza muda maana wao ndio wana majina.
Sasa mpaka kumshawishi mtendaji aingize jina lako lazima mlungura upitike
Ni ajira gani hizo hebu zitaje
Na haitakiwi kuisha, ikiisha tu mambo yatakwenda hovyoRushwa haijawahi kuisha
Kuna ajira zimetagazwa za muda mfupi hapa Manispaa ya Temeke lakini ni rushwa kwa kwenda mbele mpaka upate.
Watendaji wa kata wana majina yao na wanatamba sana kuwa wanao-appply wanapoteza muda maana wao ndio wana majina.
Sasa mpaka kumshawishi mtendaji aingize jina lako lazima mlungura upitike