Wengine wanatumiwa text haha!.Majina ya michongo bado tu hawajatoa?
Wameanza lin kutuma text maana usaili ilikuwa janaWengine wanatumiwa text haha!.
Wameanza lin kutuma text maana usaili ilikuwa jana
Kuna mtu anadai ametumiwa jana.Wameanza lin kutuma text maana usaili ilikuwa jana
Mchawi kadi ya chamaMimi kuna rafiki yangu yani kapangiwa hata kwenye usaili hajawekwa na nimemaliza nae kapata zero lkn ni uvccm yani hakuna kinachompitaga