Software itawachuja ndani ya sekunde 10, wataanza kubaki wa elimu ya chuo kikuu then wengine watafuataHizi Ajira za Sensa ambazo sifa Ni nyepesi Sana. Hivyo waombaji watakua wengi itakayopelekea kuongeza ushindani. Tutarajie matapeli kitambaa na beat ili kuwapiga hao "makarani tarajali"
Mtego upo hapa:Kwa hiyo Ngumbaru tutulie sio?
Patamu hapoMtego upo hapa:
1. Wamesema kuanzia elimu ya kidato cha nne, lakini wameweka mahali uchague elimu yako ni ipi, wakianzia ya chuo kikuu na kushuka hadi kidato cha nne
2. Wamesema ni kwa aliyeajiriwa na serikali, au binafsi au asiye na ajira (maana yake yeyote), lakini kuna mahali unatakiwa ujaze hali yako ya ajira, na kwa walioajiriwa unajaziwa na mwajiri sehemu yake
Mchujo upo, tena kwa software ni just kufanya sorting dakika moja tu wanabaki wanaodhaminika serikalini na wenye elimu kuanzia juu kushuka chini. Ni maoni yangu lakini, sina chanzo chochote
Afisa analewaaaa...Wenyeviti wa CCM wilaya, wanawaambia vijana Kuna nafasi zimetengwa kwa wanachama wa CCM kwa hiyo ukikamilisha maombi nakala Moja unampelekea ukiambatanisha na 10,000. Jana mmoja alikuwa analewa pombe, kiti moto na mrembo pembeni. Huku muamala ukiendelea kusoma.
wenyeviti wa ccm sio maafisaAfisa analewaaaa...
Kuna watu watatemwa na mfumo ila wataingizwa unajua kwa nini ?Mtego upo hapa:
1. Wamesema kuanzia elimu ya kidato cha nne, lakini wameweka mahali uchague elimu yako ni ipi, wakianzia ya chuo kikuu na kushuka hadi kidato cha nne
2. Wamesema ni kwa aliyeajiriwa na serikali, au binafsi au asiye na ajira (maana yake yeyote), lakini kuna mahali unatakiwa ujaze hali yako ya ajira, na kwa walioajiriwa unajaziwa na mwajiri sehemu yake
Mchujo upo, tena kwa software ni just kufanya sorting dakika moja tu wanabaki wanaodhaminika serikalini na wenye elimu kuanzia juu kushuka chini. Ni maoni yangu lakini, sina chanzo chochote
Hawa jamaa wamezidi sasa hadi kero. Kwenye uchaguzi wa wabunge na rais walikuwepo na kitangazo chao, kwenye Corona wakawepo, uandikishaji wa nyumba na makazi kama kawa, wakaja na wanahitaji watu wa kukusanya ushuru kwenye majiji, sasa hivi hiyo sensa na kazi yao ni kuchonga tu mihuri na kufungua email mpya za gmail hii ni too muchHizi Ajira za Sensa ambazo sifa Ni nyepesi Sana. Hivyo waombaji watakua wengi itakayopelekea kuongeza ushindani. Tutarajie matapeli kuiltambaa na beat ili kuwapiga hao "makarani tarajali"
1. Tapeli anatumia Gmail.
2. Mchango @35,000 (malazi na chakula).
3. Picha je?
View attachment 2230183
30k per dayPost code posho bei gani?
Hivi wanashindwa kuwakamata kweli ?Hawa jamaa wamezidi sasa hadi kero. Kwenye uchaguzi wa wabunge na rais walikuwepo na kitangazo chao, kwenye Corona wakawepo, uandikishaji wa nyumba na makazi kama kawa, wakaja na wanahitaji watu wa kukusanya ushuru kwenye majiji, sasa hivi hiyo sensa na kazi yao ni kuchonga tu mihuri na kufungua email mpya za gmail hii ni too much
Hapa Kuna mazuzu ya chama yatakuamini Kama imani ya dini. Halafu yataanza kusambaza hii stori mitaani kwa uhakika kabisaWenyeviti wa CCM wilaya, wanawaambia vijana Kuna nafasi zimetengwa kwa wanachama wa CCM kwa hiyo ukikamilisha maombi nakala Moja unampelekea ukiambatanisha na 10,000. Jana mmoja alikuwa analewa pombe, kiti moto na mrembo pembeni. Huku muamala ukiendelea kusoma.