DOMINGO THOMAS
JF-Expert Member
- Feb 16, 2023
- 365
- 365
Mapema sana, hakuna kupoteza muda😅, Vyeti vilikuwa certified kweli...!?[emoji3555]View attachment 2585482
Hiyo ya Kucertify vyeti umetoa wap mkuu?..Mapema sana, hakuna kupoteza muda[emoji28], Vyeti vilikuwa certified kweli...!?
Ndivyo inavyo julikana, au kuna utaratibu mwengine...!?Hiyo ya Kucertify vyeti umetoa wap mkuu?..
Uzi unahusu niniHiyo ya Kucertify vyeti umetoa wap mkuu?..
Hakuna mambo ya muhuri wa mwanasheriaHakikisha una upload vyeti ambavyo ni certified ( Vyeti vyenye muhuri wa Mwanasheria )
Cover Letter ( Barua yako ya maombi ) inakuwa na sahini yako chini/mwishoni mwa barua.
Ila kuna ku certify?Hakuna mambo ya muhuri wa mwanasheria
Kwenye system zote za serikali lazima tu-upload vyeti vilivyo kuwa certified i.e Ajira PortalHiyo ya Kucertify vyeti umetoa wap mkuu?..
Una upload Original copies hakuna shida...!?😂 HayaHakuna mambo ya muhuri wa mwanasheria
Huyu alikosa kazi kwasababu haja verify vyeti Ajira portalHakuna mambo ya muhuri wa mwanasheria
😅! Kwaiyo wengine wasi-apply kwasababu nafasi tayari zinawatu..!?Hizo hela za kuwapa mawakili au mahakama unazitoa wapi?, Watu wanapata ajira bila hizo mbwembwe. KIKUBWA NI CONNECTION TU.
Umeelewa nilichomaanisha?.😅! Kwaiyo wengine wasi-apply kwasababu nafasi tayari zinawatu..!?
Umesoma wapi hiyo, au ni mara yako ya kwanza ku apply?Mapema sana, hakuna kupoteza muda😅, Vyeti vilikuwa certified kweli...!?
Huyo ni mkosa akili😅! Kwaiyo wengine wasi-apply kwasababu nafasi tayari zinawatu..!?
Huyu mtu hajui kitu afu anajifanya ujuajiUmesoma wapi hiyo, au ni mara yako ya kwanza ku apply?
Tena anaanzisha uzi kabisaHuyu mtu hajui kitu afu anajifanya ujuaji