DOMINGO THOMAS
JF-Expert Member
- Feb 16, 2023
- 365
- 365
- Thread starter
- #121
Hivi sehemu ya kujisajili kama ni mtumiaji mpya kwenye mfumo mbona haionekani? Msaada
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hivi sehemu ya kujisajili kama ni mtumiaji mpya kwenye mfumo mbona haionekani? Msaada
Pole.Wewe huna akili zote tangu jana unaanzisha nyuzi za kijinga tu sijui umemaliza chuo mwaka jana
Yani unakera kinoma
Hatujui inakuwaje, Tueleze.!Unadhani wanasoma barua moja moja?
Ndo punguza hiyo.1. Barua tuna andika kwa mkono au computer?
2. Barua inakuwa ya kiswahili au Kingereza?
Punguza nini..!?Ndo punguza hiyo.
Pole.Yaani wewe DOMINGO THOMAS hufai kuwa mwalimu wa wanetu kabisa!.
Chuo chako cha mchongo 😂😂😂😂 system haikitambui pole sanaKwa nini nikijaza taarifa za chuo inanijubu "udefined"? Wakati taarifa nilizoweka ni sahihi?
😂😂😂😂😂Chuo chako cha mchongo 😂😂😂😂 system haikitambui pole sana
Kivipi..!?😂Humu ndo tutakutana wale "warimu" na "watu wa kada ya afya" 😁😁
Shortlist inajishort list.Punguza nini..!?
Kwamba system ina select tu randomly...!?Shortlist inajishort list.
Haijalishi, uko hospitali utaandika madawa kwa kijaluo?Pole.
Mimi sijasoma uwalimu.
No ukikosea kidogo tu uko nje kwenye system inayofuata checklist.Kwamba system ina select tu randomly...!?
Jibu swali, Acha kuuliza swali... Juu ya swaliHaijalishi, uko hospitali utaandika madawa kwa kijaluo?
Makosa hayo nikama yapi mkuu...!?No ukikosea kidogo tu uko nje kwenye system inayofuata checklist.
😅😅😅Ndio hakuna wamejaa
Kijana utapata tabu sana, kosa lolote dogo nje.Makosa hayo nikama yapi mkuu...!?
Andika kwa kiswahili halafu andika kwa mwandiko ule wa kuunganisha kama tulivyofundishwa darasa la kwanza1. Barua tuna andika kwa mkono au computer?
2. Barua inakuwa ya kiswahili au Kingereza?