Ajira za TRA zina ubaguzi kwa watu wa Banking and Finance

Ajira za TRA zina ubaguzi kwa watu wa Banking and Finance

Hyu jamaa mbona hajielewi watu wa banking wakatengwa vipi mbona Mimi nilifanya na nime soma banking wewe utakua ulikua na challenge ingine but sio hicho ulichoandika acha upotoshji
 
TRA wamewa-shortlist wenye digrii za Bank & Finance Kwa kigezo cha Finance, wamewaita kwenye usaili na namba za usaili wakawapa, Lakini siku ya Interview wakawatenga.

Ajira za TRA kupitia utumishi hazijawahi kuwatenga watu wenye Elimu ya Finance, vijana wengi tunawafahamu wameajiriwa TRA na wana digrii za Bank & Finance, na wanafanya vizuri huko kazini. Lakini TRA wamepewa mamlaka ya kuajiri wenyewe wanawatenga watoto wa masikini, tafadhali raisi ingilia kati, warudishe TRA utumishi.

Wanachotakiwa kuangalia ni nani amefanya vizuri Interview ya kodi ndo apewe ajira na sio digrii yake ya Finance au Tax.

Mwenye digrii ya Banking & Finance huenda akafaulu vizuri Interview ile ya maswali ya kodi na akafanya vizuri kazini kuliko mwenye digrii ya kodi, Lakini bado watamuacha mtu wa Banking & Finance na kumchukua huyo aliyefeli.

Banking & Finance, Accounting, Economic & tax course wote wamesoma Computation na wengi wamefanya options za accounting kwenye hiyo finance, wote wapewe haki Sawa za ajira na sio ubaguzi, tunaogombania kuajiriwa wote ni watoto wa Mtanzania masikini.

Raisi Samia ingilia kati hizi ajira za TRA, rudisha utumishi watoto wa masikini tusibaguliwe.

Nawasilisha!
interview si wamefanya lakini? acheni kutafta sababu.
 
Kuna wakati walisema wachaga ni wengi sana tra uchunguzi ulipofanyika ikaonekana watu kutoka mkoa Mara ndio wanaongoza kwa wingi kuliko wachaga wakifuatiwa na Wahaya mahasidi wakaufyata wakabaki kimyaaaa ! [emoji3][emoji28]
Leta huo uchunguzi vinginevyo ni rumours
 
watu wa Banking & Finance mnabase sana kwenye masuala ya Bank na sio general ndo tatizo liko hapa.
Ni kweli mkuu ingawa wenyewe wana tumia kigezo cha sheria ya fedha kuhusu Kodi, lakini ukweli ni kwamba hawa ni watu wa mabenk huko na wame specialize kwenye sector za kibenk sana, na hii kitu inakuwa ngumu sana kukubali wao hata kama policy's zina badilika kwa waajiri wao wanaona kwa kuwa sababu mwanzoni walikuwa wakiitwa kwenye usahili wa TRA, basi ndio itabakia hivyo hivyo.
 
watu wa Banking & Finance mnabase sana kwenye masuala ya Bank na sio general ndo tatizo liko hapa.
INSIDER MAN Perrez Amanaya7 hamuijui kiundani hiyo kozi brothers, hawa watu wana specialize kwenye Bank Pia wanaisoma Pure Finance, na Module zao zina options kwa mtu anayetaka Pia kubobea kwenye accounting anasoma options zote za Accounting mwaka wa 1&2.

Ni kweli watu hawa wana specialize kwenye Pure Banking & Finance Modules, Lakini wengine wanachukua Accounting options ndani yake. Na TRA wameweka kigezo cha kozi zilizo specialize kwenye Finance Pia waweze ku-apply. Hope hicho kigezo cha Finance kiliwafanya wawe selected for Interview.
 
INSIDER MAN Perrez Amanaya7 hamuijui kiundani hiyo kozi brothers, hawa watu wana specialize kwenye Bank Pia wanaisoma Pure Finance, na Module zao zina options kwa mtu anayetaka Pia kubobea kwenye accounting anasoma options zote za Accounting mwaka wa 1&2.

Ni kweli watu hawa wana specialize kwenye Pure Banking & Finance Modules, Lakini wengine wanachukua Accounting options ndani yake. Na TRA wameweka kigezo cha kozi zilizo specialize kwenye Finance Pia waweze ku-apply. Hope hicho kigezo cha Finance kiliwafanya wawe selected for Interview.
Kwanini wasichukue pure Taxation na watu wa Accounts maana kama watu wa taxation wao hapo ndo hasa ndio field yao, kusoma module moja ya tax isiwe kigezo, kwani wataxation pia wamesoma credit and lending module lakini kwenye kazi za banking hawawi shortlisted.
 
Back
Top Bottom