Ajira za ualimu bila JKT inawezekana?

mwalimumzalendo1

JF-Expert Member
Joined
May 19, 2014
Posts
1,098
Reaction score
406
Habari za jion JF


Hivi hawa walimu wa diploma wa mwaka huu wataajiliwa bila kuwa na cheti cha JKT ?

Maana kuna mdogo wangu yupo hajaenda JKT

Nahitaji kujua kama hataajiliwa tumtafufutie cha kufanya
 
Kwa nn hajaenda? over na yuko sehem gan coz huyo n wa mjib wa sheria hvyo amekiuka sheria
 
Kijana ameona ANAJILA sana naona karudi yani...UZALENDO tu umerudi....hahahahaha"
 
diploma waliohitimu wanapata 4800,waliochaguliwa ni elfu 3 tu,hao ndio walioenda,haijajulikana hawa waliobaki wataenda au lah? tusubiri maamuzi kwa waliobaki.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…