Mshinga
JF-Expert Member
- Feb 5, 2013
- 3,532
- 1,126
kutokana na upungufu mkubwa wa walimu nchini serikali na taasisi za binafisi wamefanya na wanafanya juhudi kubwa kutatua tatizo la walimu,tayari kwa kiasi kikubwa tatizo la walimu wa arts ni kama limeisha na tatizo la walimu wa sayansi ndio bado,
kwa kuwa ualimu ilikuwa ni kimbilio la wengi na ajira zake hazikuhitaji hata interview.
sasa watu waanze kujiandaa kisaikolojia kwa kukosekana kwa jira za ualimu hasa kwa wanafunzi walimu wa masomoya arts ambao sasa wapo masomoni ndani ya miaka mitatu ijayo.
kwa kuwa ualimu ilikuwa ni kimbilio la wengi na ajira zake hazikuhitaji hata interview.
sasa watu waanze kujiandaa kisaikolojia kwa kukosekana kwa jira za ualimu hasa kwa wanafunzi walimu wa masomoya arts ambao sasa wapo masomoni ndani ya miaka mitatu ijayo.