ina mana maelezo yote haya hujaelewa? sikumaanishi uwingi wa vitu vya kufundisha, nilimaanisha uwezo wa kueleweka kwa asilimia kubwa hata kama umefundisha mifano minne ya logarithm, na siyo unafundisha mifano minne walioelewa hata robo hawafiki ama wote hawajaelewaUsilolijua ni sawa na ucku wa giza.kazi ya mwl nikuelekeza mwl anamchango 20ASILIMIA 80 ya mwanafunzi.j
Kama hujawahi kupata utindio wa ubongo basi upo mbioni kuupata. This is so because i understand the whole process a student teacher goes untill the last drop to his /her appointiment. What kind of selection would you like to propagate to the ministry of culture and education? Do you really understand what does the vocabulary ASSESSMENT stands for?
si kila aliyesoma ualimu na kuhitimu toka chuo chochote iwe cha serikali ama private ana uwezo wa kufundisha akaeleweka, sasa hapa wote waliofauru wameajiliwa bila mchujo wakupata wanaoeleweka. ifikie wakati tuangalie kinachotakiwa, masomo ya sayansi yataendelea kusumbua hasa physics na mathematics maana yanahitaji walimu wanaoeleweka zaidi na kama hawaeleweki basi hawana msaada sawa na kwamba wanafunzi hawana mwalimu
mbona unajadili kwa jaziba na mitusi? hii ni ishara kuwa huna hoja na unauelewa mdogo sana. assessment ni sehemu ya masomo kwenye kozi zote na si ualimu peke yake, hakuna ajira yoyote inayopimwa kwa assessment na ndio maana hata engineer anafanya interview na assessment walifanya
si kila aliyesoma ualimu na kuhitimu toka chuo chochote iwe cha serikali ama private ana uwezo wa kufundisha akaeleweka, sasa hapa wote waliofauru wameajiliwa bila mchujo wakupata wanaoeleweka. ifikie wakati tuangalie kinachotakiwa, masomo ya sayansi yataendelea kusumbua hasa physics na mathematics maana yanahitaji walimu wanaoeleweka zaidi na kama hawaeleweki basi hawana msaada sawa na kwamba wanafunzi hawana mwalimu
we hujui lolote wenzako tumeshalamba ajira ww endelea kusota na hyo bba yako mpka utakoma
we hujui lolote wenzako tumeshalamba ajira ww endelea kusota na hyo bba yako mpka utakoma