Masumbuko r bilali
Senior Member
- Dec 27, 2012
- 158
- 35
Baada ya TAMISEMI kusitisha ajira mpya za walimu ili kufanya marekebisho kama walivyotangaza, jana usiku waliweka tena hewani majina hayo yakiwa na marekebisho yake kama ifuatavyo.
View attachment 248280
View attachment 248281
View attachment 248282
View attachment 248284[
View attachment 248285
na vituo kuna wengine wamebadilish
iwa
wale walio clear sup majina yao yametoka kuna mdogo wangu alikuwa na sup aka clear anaulizia kwa aliyeyaona msaada jamani.