Ajira za ualimu zizotolewa 27 Nov 2020 na hatimaye walinu kuripoti wataitwa lini kazini?

Ajira za ualimu zizotolewa 27 Nov 2020 na hatimaye walinu kuripoti wataitwa lini kazini?

Waliambiwa tarehe ya kuripoti,na wamesharipoti,waitwaje tena au wewe unataka stahki zao?
Kama ni suala la stahki zao,namba za akaunti za benki si zilijazwa?
 
Yaani nchi hii kwa sasa Ukitaka kuishi kwa raha
Fuateni sheria za nchi bila masharti
Lipa kodi
Utafaidi matunda ya awamu hii ya Rais mwema mwenye Moyo wa huruma na upendo kwa RAIA wake
Lakini Ukitaka ujanja janja lazima uumie maana mianya yote ya wapiga dili imeziba kabisa
 
Back
Top Bottom