Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwahiyo wanunuzi wanaenda kuvifundisha kazi wenyewe?Kuna sehemu nilkuwa maeneo ya Manzese Dar. Hivi vitoto vidogo vichangu viko vingi kweli na vinaletwa kutoka mikoani kwa oda maalum. Ukikuta wakati ''vinapigwa mnada'' utashangaa sana. Utasikia waliyovileta wanapiga debe kabisa ''hii ni mali mpya imeingia leo hivyo bei yake ni tofauti''.
ccm itajikaanga kwa mafuta yake... make kule ndo wamejazanaUnajua kila nikipiga mahesabu Tanzania ya miaka 20 ijayo naona giza. Wanaume wengi vijana 10-20 years old ama ni machinga au bodaboda au jobless kabisa na wengine ni panya road. Wasichana ni machangudoa au ma-bar maid nk. Wakija kuchanya damu hawa watazaa mafisi-road na panya-road watakuwa cha mtoto. Hawa ndiyo wanaokuja kuifanya Tanzania isitawalike kabisa kama hatua hazitachukuliwa mapema.
Sa si bora kuliko kuitwa ombaomba?
Hapa tunazungumzia rika si Umri perse kwa maana ya miaka ya kuzaliwa against uwezo wa kutimiza majukumu!Unapima umri kwa macho mkuu
Labda ulikuwa hufanyi night tour kujionea nightlife by night...Nimeishi Dom miaka minne sikuwahi kuiona hii.
Nenda chako ni chako au uhindini shule zikifungwa wanakaaga kwa nyuma nyuma... wanawai kuja na wanawai kutokaMtaa Gani Huo Mkuu
Sawa Mkuu Uhindini Kuanzia Majira HayoNenda chako ni chako au uhindini shule zikifungwa wanakaaga kwa nyuma nyuma... wanawai kuja na wanawai kutoka
Utashangaa serikali ipo na inalijua hili tatizo lakini wako bize tu kurogana na kuliibia taifaSalam...!
Nipo jijini dodoma yapata mwez wa 2 Sasa lakini Kuna jambo linanishangazaa na kunisikitisha Sana
Hapa mjini ajira za utotoni zimekithiri sana
Ukienda kwenye migawa hasa ya uswahilini unakuta asilimia kubwa watoto ndo Wana hudumia
Ukienda kwenye garage vilevile unakuta vitoto vidogo dogo ndo vinapewa kazi ya kufungua nati
Kwenye usafiri wa umma vile vile watoto ndo makondakta na wapiga debe stendi
Cha kushngazaa kabisa juzi nilienda kwenye taasisi moja ya elimu ya juu tena kubwa tu lakin nikashangaa kuona watoto wadogo ndo wanafanya usafi wa nje kufyeka na kufugia
Sasa ukitazama hao watoto kwa sura tu bado wadogo Sana Wanatakiwa kuwa mashuleni
Niiombe Serikali kuingilia kati swala hili ikibidi kuwachukulia hatua wote wanaowapa kazi watoto ambao Wanatakiwa kuwa shule
Hii ni kwa dodoma sijajua na mikoa mingine kama hali hii ipo..
Mtaa Gani Huo Mkuu
Shule ya lazima ni form four. Usitetee ukiukwaji wa haki za watotoHao siyo watoto wadogo bali ni maumbile yao! Tayari walikwisha maliza elimu ya msingi na sasa wako on job training.
Kwa sheria ipi ya nchi hii? Elimu ya msingi inaishia darasa la sababu huo ulazima unatoka wapi?Shule ya lazima ni form four. Usitetee ukiukwaji wa haki za watoto
Salam...!
Nipo jijini dodoma yapata mwez wa 2 Sasa lakini Kuna jambo linanishangazaa na kunisikitisha Sana
Hapa mjini ajira za utotoni zimekithiri sana
Ukienda kwenye migawa hasa ya uswahilini unakuta asilimia kubwa watoto ndo Wana hudumia
Ukienda kwenye garage vilevile unakuta vitoto vidogo dogo ndo vinapewa kazi ya kufungua nati
Kwenye usafiri wa umma vile vile watoto ndo makondakta na wapiga debe stendi
Cha kushngazaa kabisa juzi nilienda kwenye taasisi moja ya elimu ya juu tena kubwa tu lakin nikashangaa kuona watoto wadogo ndo wanafanya usafi wa nje kufyeka na kufugia
Sasa ukitazama hao watoto kwa sura tu bado wadogo Sana Wanatakiwa kuwa mashuleni
Niiombe Serikali kuingilia kati swala hili ikibidi kuwachukulia hatua wote wanaowapa kazi watoto ambao Wanatakiwa kuwa shule
Hii ni kwa dodoma sijajua na mikoa mingine kama hali hii ipo..
Umasikini ndio chanzo ukiwaondolea umasikini hao watoto awatofanya Kazi hizoMaisha ya Dodoma ni magumu sana hao wanatafuta maisha
Wewe ulikuwa unafanya Kaz za nyumban unasaidia lakin hawa wanafanya kwa ujiraTuacheni mambo ya uzungu, 14 years ni muda muafaka wa kufanya kazi. Tulikuwa tukifanya kazi nzito za kifamilia enzi hizo katika umri huo, sasa leo the same thing haiwezi kushindikana.
Tulikuwa tunachunga wanyama, tunachanja kuni, tunalima, tunafua. Sasa what is the difference leo wakifanya kazi nyingine?