Ajira za Utumishi wa Umma ziwe za mkataba wa muda maalumu kwa kada zote

Ajira za Utumishi wa Umma ziwe za mkataba wa muda maalumu kwa kada zote

Ningepewa nafasi ya kuhudumu kama mwajiri ningebadilisha taratibu zote za UTUMISHI wa UMMA kutoka kuwa ajira za kudumu mpaka mkataba wa mwaka mmoja.

Naamini hakuna anaependa kutumika maisha yake yote, hivyo wanaochoka nafasi hizo wawaachie wale wanaozitaka.

Hii itaongeza chachu ya utendaji kazi uliotukuka kwani mwenye nia ya kusalia kazini Atafanya kazi kwa bidii na yule ambae Tayari ashajiweza kiuchumi na anatamani kufanya mambo yake binafsi, itakuwa ni muda sahihi kwake kutokuongeza mkataba na kufuata mambo yake. Nadhani hii itaondoa tatizo la ajira kwa kiasi chake.

Wapo watu wengi washazichoka kazi walizoajiriwa lakini wanaenda kwasababu tu ndiyo kazi zo na hii ndiyo hasa inafanya kuwepo kwa utendaji mbovu kwenye ofsini nyingi za Umma.

Nawasilisha.
Ajira kuwa permanent hakumaanishi huwezi kuacha kazi tena ni simple sana

Andika barua ya masaa 24 lipa na mshahara mmoja, au andika notisi ya mwezi mmoja bila kulipwa mshahara utaondoka kwa amani kabisa


Labda uniambie iwe hivyo kwa kigezo, cha kuhamasisha utendaji hapo kweli
 
Ningepewa nafasi ya kuhudumu kama mwajiri ningebadilisha taratibu zote za UTUMISHI wa UMMA kutoka kuwa ajira za kudumu mpaka mkataba wa mwaka mmoja.

Naamini hakuna anaependa kutumika maisha yake yote, hivyo wanaochoka nafasi hizo wawaachie wale wanaozitaka.

Hii itaongeza chachu ya utendaji kazi uliotukuka kwani mwenye nia ya kusalia kazini Atafanya kazi kwa bidii na yule ambae Tayari ashajiweza kiuchumi na anatamani kufanya mambo yake binafsi, itakuwa ni muda sahihi kwake kutokuongeza mkataba na kufuata mambo yake. Nadhani hii itaondoa tatizo la ajira kwa kiasi chake.

Wapo watu wengi washazichoka kazi walizoajiriwa lakini wanaenda kwasababu tu ndiyo kazi zo na hii ndiyo hasa inafanya kuwepo kwa utendaji mbovu kwenye ofsini nyingi za Umma.

Nawasilisha.
Wazo zuri
 
Kwa mwaka Mmoja hamna.labda kama miaka mitano hapo sawa.kwa mwaka Mmoja huwezi kuwa mzoefu.mimi kama mwajiriwa natamani nikifikisha miaka mitano naachana na kazi ya kuajiriwa.Baada ya miaka mitano Lazima nikajiajiri niachane na huu utumwa wa kazi zenye ujira mdogo serikalini
 
Kwa mwaka Mmoja hamna.labda kama miaka mitano hapo sawa.kwa mwaka Mmoja huwezi kuwa mzoefu.mimi kama mwajiriwa natamani nikifikisha miaka mitano naachana na kazi ya kuajiriwa.Baada ya miaka mitano Lazima nikajiajiri niachane na huu utumwa wa kazi zenye ujira mdogo serikalini
unasema hivi sababu una kazi nikuulize swali kwanini wastaaf wengi wakitoka makazini wanafail life usiache kazi et unataka kujiajiri utapigwa virungu vya maisha mpaka unaona unachotaka kujiari haukionii wewe acha maneno ya vijiweni piga kazi mpk uzee wako mkuu
Na nature ya ubinadamu hakuna kazi ngumu kama kujituma mwenyewe mpk utumwe ndo maana matajiri wote wameunda strong management maana yake ile management imtume na imdirect mfano kama kina mond,mo, gsm nk ukiangalia management zao sio za kitoto sana
 
Ningepewa nafasi ya kuhudumu kama mwajiri ningebadilisha taratibu zote za UTUMISHI wa UMMA kutoka kuwa ajira za kudumu mpaka mkataba wa mwaka mmoja.

Naamini hakuna anaependa kutumika maisha yake yote, hivyo wanaochoka nafasi hizo wawaachie wale wanaozitaka.

Hii itaongeza chachu ya utendaji kazi uliotukuka kwani mwenye nia ya kusalia kazini Atafanya kazi kwa bidii na yule ambae Tayari ashajiweza kiuchumi na anatamani kufanya mambo yake binafsi, itakuwa ni muda sahihi kwake kutokuongeza mkataba na kufuata mambo yake. Nadhani hii itaondoa tatizo la ajira kwa kiasi chake.

Wapo watu wengi washazichoka kazi walizoajiriwa lakini wanaenda kwasababu tu ndiyo kazi zo na hii ndiyo hasa inafanya kuwepo kwa utendaji mbovu kwenye ofsini nyingi za Umma.

Nawasilisha.
Ni utaratibu mzuri nadhani tukiandika katiba mpya tutakuja na Sheria za zingine kubadilisha mazoea

Sheria za kazi tulizo nazo ni outdated bado ni za mfumo wa kijamaa kubembelezana kwingi
 
Unataka watu waanze kuhonga hili wabaki makazini, na hizo gharama za usahili kila mwaka si bora zipelekwe mahospitalini au mashuleni, wazo zuri ila kieconomical haliko sawa
Na watu watahonga balaa🤣 itakuwa mfumo kama wa vibarua. Ukitaka kupangwa site unampa tip man selecta 😁
 
Ukiwa jobless ni sahihi kuwaza hvy, ila ukiwa na kazi huko serikalini huwezi kusema haya.
😁😁😁😁😁😁 Inaeleweka kuwa asilimia 90% ya waajiriwa serikalini hapa bongo wanahisi wamejikomboa kuipata check no.

Ni kama wametua mzigo wa mahangaiko ya kupata riziki zao za kila siku hivyo hawawezi na hawataki kusikia habari za kurudi mtaani.
 
😁😁😁😁😁😁 Inaeleweka kuwa asilimia 90% ya waajiriwa serikalini hapa bongo wanahisi wamejikomboa kuipata check no.

Ni kama wametua mzigo wa mahangaiko ya kupata riziki zao za kila siku hivyo hawawezi na hawataki kusikia habari za kurudi mtaani.
Sahihi.
 
Kwa hiyo ma Daktari wa upasuaji wenye uzoefu wa miaka 20 kazini waondolewe alafu waletwe ma Junior waendeleze game
 
Kwa hiyo ma Daktari wa upasuaji wenye uzoefu wa miaka 20 kazini waondolewe alafu waletwe ma Junior waendeleze game
Kuna Cadre ambazo ni technical kweli zinahitaji wazoefu kama kada ya afya ila utaona pia hao watu hawafanyi kazi full time serikalini.

Kuna wanaofungua clinic zao binafsi na wengine huenda hudumia huko kama part time.
 
Mimi ninachopinga ni jitu limekaa serikalini mpaka limezeeka akili zimechoka, limekula Mishahara weee halijaridhika, eti limestaafu halafu linapewa mkataba wa miaka mfano miwili na serikali hiyo hiyo, hii mizee ndo inayozibia vijana nafasi za ajira, ifukuzwe yote waajiriwe vijana.
 
Back
Top Bottom