Ajira za walimu 2013/2014 zasitishwa.

Wactshe hvyohivy...hal n mbaya mashulen....wanajdanganya na BRN ya kulazmisha matokeo kuwa makubwa.
 
Mwanzo nilizisia kama tetesihapa ofsn na ujue kuna usiri mkubwa sana hapa wizarani kuhusu swala la ajira yaani hata watumish wengi hapa nao huwa hawajui ajira huwa zitapangwaje ndio mana nikafunga safari kwenda kudafisi ofc husika.
NDIYO MAANA HUFANYA SIRI MAANA SASA WATU KAMA WEWE SI NDIO MWAIVUA NGUUUO HIZO WIZARA KILA MARA DUUUUU twashukuru kwa taarifa lakini umekiuka kanuni na taratibu za UTUMISHI WA UMMA kwa kutoa siri za ndani ya ofisi! Haaa kumbe mwakani uchaguz tobaa pesa zaandaliwa enda huko huenda
 
sasa kwanini tamko lisitoke wizaran moja kwa moja ili tujielewe 7bu tunakaa bure tukjua ajra ipo mbioni kumbe tungeweza kufanya mengne
 
acha mbwembwe kijana"""""" ajira zpo kwa walim woteeee vuteni subraaaaa
:israel:
 
Nyie hao ni waongo,mwenyewe niliajiriwa mwaka jana,lakini wakati tunasubiri ajira yaani uongo kama huu ulikuwa unajitokeza sanaa tu
 
Jamani ila huku kuna BRN inasumbua akili za watu.
ila endeleeni kuvuta subira zitatoka tu.
 
Last edited by a moderator:

Walimu manao subiri ajira tafadhari msiendelee kupoteza mda wenu kwa kusikiliza tetesi za uongo zinanzo letwa na baadhi wanwatu humu,,kama kuna fursa imejitokeza ingia mkataba uenelee na majukumu mengine.
 
Walimu manao subiri ajira tafadhari msiendelee kupoteza mda wenu kwa kusikiliza tetesi za uongo zinanzo letwa na baadhi wanwatu humu,,kama kuna fursa imejitokeza ingia mkataba uenelee na majukumu mengine.

Mh! Ni ushauri mzuri lakin ungekuw mwalimu unae subiri ajira nafikiri na wewe ungekuwa umshaona kama hizo fursa kweli zipo ama laaa! Watu wamesh hangaika sana kutafuta tempo na wamekosa ,nyie huwa mnajisemea tuu !!! Kisw,hist,hayo nayo ni masomo na ndio mana yanafundushwa,yasinge kuwa na umuhimu namini wizara ingeyaondoa kwenye mtaala.
 
Mh! Hizo tetesi hata mimi nimezisikia hapa ,@ kirobotokiroboto ni PM plz kuna jambo tuongee.
 
Mh! Hizo tetesi hata mimi nimezisikia hapa ,@ kirobotokiroboto ni PM plz kuna jambo tuongee.
sawa ngoja nifanye hivyo utaipata pm soon.
 
Naona unaitetetea taarifa yako.

Kama... Na kama haijajitokeza???

Kamakuna mtu ataona naongopa na aamini hivyo,na wanano subiria ajira ya leo tar26 waendelee kusuburia kwa aman lakini taarifa mmesha pewa kama mnasubiri taarifa rasmi endeleen.
 
Mmkuu loook hilo unalo lisema hata mimi nalifahamu lakini ukae ukijua kuna walimu wameongopa kuingia mikataba na shule binafsi kwa hofu ya kuvunjika kabla yaa wakat endapo post zitatangazwa hivyo wamekuwa ni watu wa kesho ,kesho huku mda ukizidi kuyoyoma embu fikiria toka mwezi wa tano watu waliingia mkataba hadi septemba mwaka jana baada ya hapo wanaogopa kusign kwamba ajira zawweza toka mda wowote halafu ikawa shida na wengine makataba uliisha desember wameogopa ki sign tena january kwa hofu hiyo hiyo hivyo wamekuwa nyumbani mda wote huku wakiwwa hawaelewi kipi kipi, ndio mana nika ona niwape tu hata kama ni tetesi lakini huenda ukweli upo ndani kwa atakaye.
 
Upo right mkuu, kwan wewe upo wizarani??
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…