salam kwenu!
naomba mwenye taarifa sahihi/zenye ukweli atuwekee hapa kwani tetes zimekuwa nyingi mno mala mwezi wa 9,umeisha mala wa 12 na wengine wa 2 mwakani, sisi tunaozisubir kiukweli tunapata shida nakwanini serikari inalifanya hili kwa usili kias hiki?