AD MostWanted
Senior Member
- Mar 20, 2015
- 108
- 12
Hadi mwezi huu wa4 (April) hakuna tamko, taarifa za kiintelijensia ni kwamba hata kibali kutoka ) ofisi ya rais menejiment na utumishi kwenda tamisemi bado! Je hali hii inatupa picha gani walimu??
Au wanatuona makatuni? na isitoshe humu wanapita na kutucheka!!!
Au wanatuona makatuni? na isitoshe humu wanapita na kutucheka!!!