AD MostWanted
Senior Member
- Mar 20, 2015
- 108
- 12
Hadi mwezi huu wa4 (April) hakuna tamko, taarifa za kiintelijensia ni kwamba hata kibali kutoka ) ofisi ya rais menejiment na utumishi kwenda tamisemi bado! Je hali hii inatupa picha gani walimu??
Au wanatuona makatuni? na isitoshe humu wanapita na kutucheka!!!
Angalia chatguest fungua account taarifa utapata uko baada ya ajira kutoka zinatoka soon
Angalia chatguest fungua account taarifa utapata uko baada ya ajira kutoka zinatoka soon
Mliambiwa walimu wanatosha mashuleni, sayansi ndo watapata ajira baadae sana sababu pesa haitoshi kuwalipa mishahara mpaka kufikia mwaka wa fedha 2015/16.
Kumbe hata kupanga bado
Daaaah mipango inaharibika mpaka mpnz wangu haniamin anazani mm nilifeli chuo
Hiyo chatguest ni web ya serikal au?
Katibu Mkuu amesema kumekuwepo na uvumi
kwa baadhi ya mitandao ya kijamii kutangaza
kuajiriwa walimu wapya kitu ambacho sio cha
kweli na amewataka wananchi kutumia mitandao
maalum ya Serikali yenye dhamana ya kutangaza
ajira za watumishi nchini kwani kwa hivi sasa
Wizara inasubiri kufanya upangaji wa watumishi
walimu na mara fedha zao zitakapokuwa tayari
watapangwa katika maeneo mbalimbali kulingana
na uhitaji wa mahali husika.
Hiyo taarifa ilitoka tarehe 26 feb. Icheki vizuri kwenye details yawezekana walichelewa kuipost