Ajira za walimu second selection zimetoka.

Ajira za walimu second selection zimetoka.

NAXFRA

JF-Expert Member
Joined
Jul 28, 2011
Posts
392
Reaction score
74
Napenda kuwatarfu wana jf na walm wenzangu kuwa serkal ime2kumbka kwa kutoa post ze2. mie nmepangwa liwale lindi, wenyej wa huko npatien uzoef wa jamii na pakoj kw mazingra afu toka mza had huko cost sh. ngap?. natangulza shukran. Mungu awabariki.
 
naifahamu vema liwale mkuu, mazingira yake nadhani ndio magumu kuliko wilaya yoyote katika mikoa ya kusini ila itategemea kata gani unayoenda. komaa mtoto wa kiume nenda kazini. kuhusu nauli kutoka dar hadi liwale nauli ina range toka 25-30
 
Voice, magum kvp, je ardhi inaru2ba kwel?
 
Back
Top Bottom