Ajira za walimu wapya 2014 zatangazwa


Thank you
 
Huyu jamaa ni mwongo asilimia zote. Nimesurf kote anakosema wala hakuna jipya. Ni mtu anayetaka attention za waalimu na kuwafanya wajisikie furaha wakati maharage yamekwisha ungua.
 
Huyu jamaa ni mwongo asilimia zote. Nimesurf kote anakosema wala hakuna jipya. Ni mtu anayetaka attention za waalimu na kuwafanya wajisikie furaha wakati maharage yamekwisha ungua.

ni ukweli mkuu,,,hii taarifa iko kwenye web ya Tamisemi
 
mvivu wa kufikiri huyo achana nae... na link kawekewa ila bd haoni... kweli mtaani kugumu
 
mkafanya kazi sasa nyie vijana maana mmelia sana humu ndani
 
Huyu jamaa ni mwongo asilimia zote. Nimesurf kote anakosema wala hakuna jipya. Ni mtu anayetaka attention za waalimu na kuwafanya wajisikie furaha wakati maharage yamekwisha ungua.

Ingia website ya TAMISEMI utakuta hii taarifa ni ya kweli
 
Huyu jamaa ni mwongo asilimia zote. Nimesurf kote anakosema wala hakuna jipya. Ni mtu anayetaka attention za waalimu na kuwafanya wajisikie furaha wakati maharage yamekwisha ungua.

unamuita mwenzako muongo hali ya kua wewe ndo muongo namba moja...hivi umeingia kwenye website ya tamisemi na hujaona hiyo taarifa au una makengeza mkuu?.
 
unamuita mwenzako muongo hali ya kua wewe ndo muongo namba moja...hivi umeingia kwenye website ya tamisemi na hujaona hiyo taarifa au una makengeza mkuu?.

Kwa kweli nimeingia na sijaona kitu. Kwani wewe umeona? Mbona ni outdated issue zimejaa?
 
haya haya ajira hiyo mliyokuwa mnaisubilia kwa hamu. cha msingi ni kuchapa kazi.
 
Kwa kweli nimeingia na sijaona kitu. Kwani wewe umeona? Mbona ni outdated issue zimejaa?

Mkubwa baada ya kuniumbua nimerudi tena kwa makini na nimeona Headline lakini simu ikagoma kulifungua hilo file. Nikitoka kazini saa tano nitapitia cafe nifungue. Ila ni kweli. Nirudi nchini nikajipange.
 
Huyu jamaa ni mwongo asilimia zote. Nimesurf kote anakosema wala hakuna jipya. Ni mtu anayetaka attention za waalimu na kuwafanya wajisikie furaha wakati maharage yamekwisha ungua.

Mkuu kwanza sitaki uniombe radhi,pili mimi sio mtoto mdogo nilete uongo kwwnye habari amabyo inagusa maisha ya watu, hii habari ni ya kweli,na ndio maana ukiangalia post yangu imekupa maelezo ya kutosha sana, tembelea web ya TAMISEMI utakiona ninacho kuambia
Ahsante
 
kwanini waseme wametangaza wakati kumbe wana tarajia kutangaza?mmmh
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…