Ajira za walimu zilikua 14,000 wameajiri 6000 halafu wamekaa kimya takribani siku 7 hakuna kinachoendelea

Ajira za walimu zilikua 14,000 wameajiri 6000 halafu wamekaa kimya takribani siku 7 hakuna kinachoendelea

Riskytaker

JF-Expert Member
Joined
Mar 14, 2024
Posts
568
Reaction score
2,522
Serikali imekuwa ikitangaza ajira lakini mara kwa mara matokeo hayalingani na ahadi. hii ni kwakada zote

Hivi karibuni, tumeshuhudia uajiri wa walimu 6,000 badala ya 14,000 waliotarajiwa, bila maelezo ya kina kuhusu upungufu huo.

Hii ni dalili ya ukosefu wa uwazi na kutowajibika kwa wale wanaosimamia ajira hizi.

Katika dunia ya leo, hatuwezi kupoteza muda na michakato isiyoeleweka. tunashudia michakato ya ajira kuchuka hata miezi 6 bila sababu za msingi

Taifa linahitaji hatua madhubuti, si maneno matupu. Serikali inapaswa kueleza kwa uwazi: Je, kuna changamoto za bajeti? Kuna upendeleo au urasimu usio na tija? Au ni mazingira ya rushwa yanayozuia ajira hizi kutolewa kwa haki?

Hatuhitaji ahadi zisizotekelezeka wala ucheleweshaji usio na sababu. Kazi zitatangazwa, basi zitolewe kwa wakati! Mfumo wa ajira unapaswa kuwa wa wazi, wa haraka, na wenye tija kwa nchi. Serikali iwe makini—wananchi wanahitaji utekelezaji, si visingizio!

ikumbukwe hizi ajira zilitangazwa mwaka jana mwezi july

halafu ni vyema kama kuna changamoto sekratariet ya ajira ikatoka hadharani ikasema kuna sababu moja mbili tatu ambazo znapelekea situation nzima.
 
Serikali imekuwa ikitangaza ajira lakini mara kwa mara matokeo hayalingani na ahadi. hii ni kwakada zote

Hivi karibuni, tumeshuhudia uajiri wa walimu 6,000 badala ya 14,000 waliotarajiwa, bila maelezo ya kina kuhusu upungufu huo.

Hii ni dalili ya ukosefu wa uwazi na kutowajibika kwa wale wanaosimamia ajira hizi.

Katika dunia ya leo, hatuwezi kupoteza muda na michakato isiyoeleweka. tunashudia michakato ya ajira kuchuka hata miezi 6 bila sababu za msingi

Taifa linahitaji hatua madhubuti, si maneno matupu. Serikali inapaswa kueleza kwa uwazi: Je, kuna changamoto za bajeti? Kuna upendeleo au urasimu usio na tija? Au ni mazingira ya rushwa yanayozuia ajira hizi kutolewa kwa haki?

Hatuhitaji ahadi zisizotekelezeka wala ucheleweshaji usio na sababu. Kazi zitatangazwa, basi zitolewe kwa wakati! Mfumo wa ajira unapaswa kuwa wa wazi, wa haraka, na wenye tija kwa nchi. Serikali iwe makini—wananchi wanahitaji utekelezaji, si visingizio!

ikumbukwe hizi ajira zilitangazwa mwaka jana mwezi july

halafu ni vyema kama kuna changamoto sekratariet ya ajira ikatoka hadharani ikasema kuna sababu moja mbili tatu ambazo znapelekea situation nzima.
Walimu huwa mna akili fupi sana na ndio maana mnadharauliwa.

Ajira hizo 14,000 zimeanza kutolewa kuanzia July 2024 na zitakoma June 2025 ,so ni Ajira za awamu Kwa awamu na sio za mkupuo.

Fuatilia Toka zimeanza kutoka mwaka Jana Hadi juzi kati zomefikia ngapi badala ya kubwatuka upuuzi.

Ndio maana mnaogopa interview eti mumepewa cheti 🤣🤣
 
Walimu huwa mna akili fupi sana na ndio maana mnadharauliwa.

Ajira hizo 14,000 zimeanza kutolewa kuanzia July 2024 na zitakoma June 2025 ,so ni Ajira za awamu Kwa awamu na sio za mkupuo.

Fuatilia Toka zimeanza kutoka mwaka Jana Hadi juzi kati zomefikia ngapi badala ya kubwatuka upuuzi.

Ndio maana mnaogopa interview eti mumepewa cheti 🤣🤣
we ni mpumbavu ajira zmeanza kutoka February hujielew zaid ya kipost uchawa kama gasho
 
Walimu huwa mna akili fupi sana na ndio maana mnadharauliwa.

Ajira hizo 14,000 zimeanza kutolewa kuanzia July 2024 na zitakoma June 2025 ,so ni Ajira za awamu Kwa awamu na sio za mkupuo.

Fuatilia Toka zimeanza kutoka mwaka Jana Hadi juzi kati zomefikia ngapi badala ya kubwatuka upuuzi.

Ndio maana mnaogopa interview eti mumepewa cheti 🤣🤣
majizi kama nyie ya kusifia mkiguswa kwenye angle ya mazingira ya corruption na ujinga mnapanic. stupid
 
Wanafanya hivo ili kupata walimu walio Bora, maan IPO wazi course ya education mi ya wavivu ndio maan interview kidogo tu mnasema serikali inapendeleaa. Mm kuna ndg yangu ana GPA ya 2.4 na ka pass interview bila mkono wa MTU na sasa ni teacher huko shinyanga.
 
Walimu mnajikuta nani ? Kwamba ajira ni lazima ? Wapuuzi kabisa, nendeni hata mashambani huko mkalime, bodaboda, saidia fundi, kazi viwandani, mjiajiri n.k ! Kuna mtu amekalisha mat***ko 10+yrs eti anasubiri post za ualimu! Kuna kaz unaweza idharau lakin inalipa kuliko huo ualimu wa kulipwa laki 5 ukatupwe huko maporini ambako hamna huduma za msingi ,,,,,
 
Walimu mnajikuta nani ? Kwamba ajira ni lazima ? Wapuuzi kabisa, nendeni hata mashambani huko mkalime, bodaboda, saidia fundi, kazi viwandani, mjiajiri n.k ! Kuna mtu amekalisha mat***ko 10+yrs eti anasubiri post za ualimu! Kuna kaz unaweza idharau lakin inalipa kuliko huo ualimu wa kulipwa laki 5 ukatupwe huko maporini ambako hamna huduma za msingi ,,,,,
endelea kuuza mnduku mtaani gasho wewe
 
Serikali imekuwa ikitangaza ajira lakini mara kwa mara matokeo hayalingani na ahadi. hii ni kwakada zote

Hivi karibuni, tumeshuhudia uajiri wa walimu 6,000 badala ya 14,000 waliotarajiwa, bila maelezo ya kina kuhusu upungufu huo.

Hii ni dalili ya ukosefu wa uwazi na kutowajibika kwa wale wanaosimamia ajira hizi.

Katika dunia ya leo, hatuwezi kupoteza muda na michakato isiyoeleweka. tunashudia michakato ya ajira kuchuka hata miezi 6 bila sababu za msingi

Taifa linahitaji hatua madhubuti, si maneno matupu. Serikali inapaswa kueleza kwa uwazi: Je, kuna changamoto za bajeti? Kuna upendeleo au urasimu usio na tija? Au ni mazingira ya rushwa yanayozuia ajira hizi kutolewa kwa haki?

Hatuhitaji ahadi zisizotekelezeka wala ucheleweshaji usio na sababu. Kazi zitatangazwa, basi zitolewe kwa wakati! Mfumo wa ajira unapaswa kuwa wa wazi, wa haraka, na wenye tija kwa nchi. Serikali iwe makini—wananchi wanahitaji utekelezaji, si visingizio!

ikumbukwe hizi ajira zilitangazwa mwaka jana mwezi july

halafu ni vyema kama kuna changamoto sekratariet ya ajira ikatoka hadharani ikasema kuna sababu moja mbili tatu ambazo znapelekea situation nzima.
Wewe kama mwalimu ni bora uachane na mada kama hizi

Humu watu wanachuki sana na walimu na almost huwezi kupata positive response humu

Halafu pia interview ndio kwanza zimeisha tarehe 24/2, automatically wataendelea kutoa japo kiukweli ajira za walimu mchakato wako una changamoto maana hizo ajira toka mwezi wa 7 zimetolewa zimekuwa zinanasanasa sana wakati watu wa afya zilitolewa pamoja na watu washasahau
 
Walimu huwa mna akili fupi sana na ndio maana mnadharauliwa.

Ajira hizo 14,000 zimeanza kutolewa kuanzia July 2024 na zitakoma June 2025 ,so ni Ajira za awamu Kwa awamu na sio za mkupuo.

Fuatilia Toka zimeanza kutoka mwaka Jana Hadi juzi kati zomefikia ngapi badala ya kubwatuka upuuzi.

Ndio maana mnaogopa interview eti mumepewa cheti 🤣🤣
Kama walimu wana akili fupi ni dhahiri kuwa watanzania wote wana akili fupi ila akili za wasio walimu zitakuwa shorter/shortest

Huwezi kufundishwa na mwenye akili fupi na ukawa na akili ndefu

Watanzania kwa ujumla ni VILAZA/WAOGA/WAPUMBAVU na cha ajabu wanalaumiwa walimu ndio wamesababisha

Hivi walimu na mapolisi/wanajeshi nani wana impact kubwa kwenye kuamua kura ziibiwe au laa?

Kuna rafiki yangu ana degree ya IT kapata kazi ya upolisi, kaenda depo mwaka juzi na mwaka jana kaingia kazini, anasema walienda mafunzo special kwa ajili ya uchaguzi 2025 (kumbuka walienda 2023)

Hivi uchaguzi wasiposimamia walimu kura hazitoibiwa?

DP world walimu wamehusika? Hao kada nyingine wamefanya nini?

Ngorongo walimu wamehusika? Wewe na wenzako mmefanya nini?

Kule KENYA zile movement zinafanywa na walimu? ( No, bali watu wote hata wasiosoma)

CONCLUSION
Huenda walimu wakawa vilaza kama mnaposema humu, ila kama ni kweli basi waliobakia watakuwa ni vilaza zaidi kuliko walimu

Maana kuwategemea walimu ndio wawapambanie wakati nyinyi wenyewe hamna chochote mlichofanya chenye alama hapa nchini (ni kushihirisha upumbavu wa hali ya juu)
 
Wanafanya hivo ili kupata walimu walio Bora, maan IPO wazi course ya education mi ya wavivu ndio maan interview kidogo tu mnasema serikali inapendeleaa. Mm kuna ndg yangu ana GPA ya 2.4 na ka pass interview bila mkono wa MTU na sasa ni teacher huko shinyanga.
Shida yenu mnajifanya wajuzi katika vitu msivyovijua.

Katika Interview za mateso ni interview za walimu

Ni interview am ambazo mtu hajui hata coverage ya interview itaanzia wapi na kuishia wapi

Interview unaweza kuulizwa kuanzia O level, advance hadi chuoni

Interview nyingine zote zinafocus chuoni tu

Hata kama ulikuwa mzuri kiasi gani shuleni, ukiwa umekaa zako miaka 5+ hujajihusisha na habari za kufundisha wala kusoma lazima interview itakukalia ugumu tu

Tena utaulizwa swali la form three na huchomoi

Halafu ikumbukwe ualimu ni program ya nadharia nyingi kuliko vitendo hivyo kusahau ni dakika zero tu

NB
Watu wanakataa mfumo wa usaili ila sio usahili wenyewe

Hakuna usahili wa maswali 25 ya multiple choice kwa contents za miaka 4+2+3= 7
 
Back
Top Bottom