Ajira za walimu zilikua 14,000 wameajiri 6000 halafu wamekaa kimya takribani siku 7 hakuna kinachoendelea

Ajira za walimu zilikua 14,000 wameajiri 6000 halafu wamekaa kimya takribani siku 7 hakuna kinachoendelea

Hawa nao walimu?

Wasanii nao walimu?

Halafu atalauiwa mwalimu😂😂
 

Attachments

  • Screenshot_20250301-071213.png
    Screenshot_20250301-071213.png
    867 KB · Views: 3
Serikali imekuwa ikitangaza ajira lakini mara kwa mara matokeo hayalingani na ahadi. hii ni kwakada zote

Hivi karibuni, tumeshuhudia uajiri wa walimu 6,000 badala ya 14,000 waliotarajiwa, bila maelezo ya kina kuhusu upungufu huo.

Hii ni dalili ya ukosefu wa uwazi na kutowajibika kwa wale wanaosimamia ajira hizi.

Katika dunia ya leo, hatuwezi kupoteza muda na michakato isiyoeleweka. tunashudia michakato ya ajira kuchuka hata miezi 6 bila sababu za msingi

Taifa linahitaji hatua madhubuti, si maneno matupu. Serikali inapaswa kueleza kwa uwazi: Je, kuna changamoto za bajeti? Kuna upendeleo au urasimu usio na tija? Au ni mazingira ya rushwa yanayozuia ajira hizi kutolewa kwa haki?

Hatuhitaji ahadi zisizotekelezeka wala ucheleweshaji usio na sababu. Kazi zitatangazwa, basi zitolewe kwa wakati! Mfumo wa ajira unapaswa kuwa wa wazi, wa haraka, na wenye tija kwa nchi. Serikali iwe makini—wananchi wanahitaji utekelezaji, si visingizio!

ikumbukwe hizi ajira zilitangazwa mwaka jana mwezi july

halafu ni vyema kama kuna changamoto sekratariet ya ajira ikatoka hadharani ikasema kuna sababu moja mbili tatu ambazo znapelekea situation nzima.
Kipambele cha bajeti nahisi sio walimu. Eitherway, ajira sio haki yako.., ni msaada tu. Tafuta biashara ufanye , hata ya kufyatua tofali.
 
Serikali imekuwa ikitangaza ajira lakini mara kwa mara matokeo hayalingani na ahadi. hii ni kwakada zote

Hivi karibuni, tumeshuhudia uajiri wa walimu 6,000 badala ya 14,000 waliotarajiwa, bila maelezo ya kina kuhusu upungufu huo.

Hii ni dalili ya ukosefu wa uwazi na kutowajibika kwa wale wanaosimamia ajira hizi.

Katika dunia ya leo, hatuwezi kupoteza muda na michakato isiyoeleweka. tunashudia michakato ya ajira kuchuka hata miezi 6 bila sababu za msingi

Taifa linahitaji hatua madhubuti, si maneno matupu. Serikali inapaswa kueleza kwa uwazi: Je, kuna changamoto za bajeti? Kuna upendeleo au urasimu usio na tija? Au ni mazingira ya rushwa yanayozuia ajira hizi kutolewa kwa haki?

Hatuhitaji ahadi zisizotekelezeka wala ucheleweshaji usio na sababu. Kazi zitatangazwa, basi zitolewe kwa wakati! Mfumo wa ajira unapaswa kuwa wa wazi, wa haraka, na wenye tija kwa nchi. Serikali iwe makini—wananchi wanahitaji utekelezaji, si visingizio!

ikumbukwe hizi ajira zilitangazwa mwaka jana mwezi july

halafu ni vyema kama kuna changamoto sekratariet ya ajira ikatoka hadharani ikasema kuna sababu moja mbili tatu ambazo znapelekea situation nzima.
Wataendelea kutoa Pdf kuwa na Amani
 
Kama walimu wana akili fupi ni dhahiri kuwa watanzania wote wana akili fupi ila akili za wasio walimu zitakuwa shorter/shortest

Huwezi kufundishwa na mwenye akili fupi na ukawa na akili ndefu

Watanzania kwa ujumla ni VILAZA/WAOGA/WAPUMBAVU na cha ajabu wanalaumiwa walimu ndio wamesababisha

Hivi walimu na mapolisi/wanajeshi nani wana impact kubwa kwenye kuamua kura ziibiwe au laa?

Kuna rafiki yangu ana degree ya IT kapata kazi ya upolisi, kaenda depo mwaka juzi na mwaka jana kaingia kazini, anasema walienda mafunzo special kwa ajili ya uchaguzi 2025 (kumbuka walienda 2023)

Hivi uchaguzi wasiposimamia walimu kura hazitoibiwa?

DP world walimu wamehusika? Hao kada nyingine wamefanya nini?

Ngorongo walimu wamehusika? Wewe na wenzako mmefanya nini?

Kule KENYA zile movement zinafanywa na walimu? ( No, bali watu wote hata wasiosoma)

CONCLUSION
Huenda walimu wakawa vilaza kama mnaposema humu, ila kama ni kweli basi waliobakia watakuwa ni vilaza zaidi kuliko walimu

Maana kuwategemea walimu ndio wawapambanie wakati nyinyi wenyewe hamna chochote mlichofanya chenye alama hapa nchini (ni kushihirisha upumbavu wa hali ya juu)
Walimu wengi walionifundisha walikuwa vilaza hawajawahi pata ufaulu kama wangu
 
Walimu huwa mna akili fupi sana na ndio maana mnadharauliwa.

Ajira hizo 14,000 zimeanza kutolewa kuanzia July 2024 na zitakoma June 2025 ,so ni Ajira za awamu Kwa awamu na sio za mkupuo.

Fuatilia Toka zimeanza kutoka mwaka Jana Hadi juzi kati zomefikia ngapi badala ya kubwatuka upuuzi.

Ndio maana mnaogopa interview eti mumepewa cheti 🤣🤣
mtoa post kasema ajira zilikua 14k wamaejiri 6k halafu wapo kimya akatumia logic kuhoji hapo katikati kuna nini ambacho hakiwekwi wazi

sasa wew na mtoa post nani an akili fupi. simply mjinga ni wewe hapo
 
Waalimu kwa kudeka kama wasichana waliovunja ungo juzi juzi 🙌
 
mtoa post kasema ajira zilikua 14k wamaejiri 6k halafu wapo kimya akatumia logic kuhoji hapo katikati kuna nini ambacho hakiwekwi wazi

sasa wew na mtoa post nani an akili fupi. simply mjinga ni wewe hapo
Wewe na mtoa mada ni walimu mbumbumbu
 
Walimu wengi walionifundisha walikuwa vilaza hawajawahi pata ufaulu kama wangu
Unadhihirisha wewe ni kilaza
1. Kitendo cha kukufundisha mpaka upate ufaulu mkubwa inadhihirisha kuwa hao walimu ni smart,
2. Kupata ufaulu mkubwa haimaanishi wewe upo smart, Kuna sababu nyingi zinasababisha mtu apate ufaulu mkubwa ikiwemo hamasa ya ndani ya mwanafunzi pamoja na mazingira
3. Kinyume Cha maelezo yako sio sahihi, pamoja na ufaulu wako mkubwa ukipelekwa shule za kata hapa DSM huwezi kutoa hata 50% ya wanafunzi wataofaulu kama wewe
 
HAWA NDIO WATANZANIA AMBAO WATAKUJA KUWALAUMU WALIMU KWENYE UCHAGUZI

#PICHA Maelfu ya Watanzania wa madhehebu mbalimbali ya Kikristo usiku wa kuamkia leo wamejitokeza katika Viwanja vya Leaders Kinondoni Jijini Dar es salaam kufanya mkesha wa maombi ya kuliombea Taifa la Tanzania, Rais Dr. Samia Suluhu Hassan na Watanzania wote katika kuelekea Uchaguzi mkuu ambao unatarajiwa kufanyika mwishoni mwa mwaka huu.

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa ndiye alikuwa Mgeni rasmi katika mkesha huo ambao uliongozwa na Viongozi mbalimbali wa kidini wakiwemo Maaskofu, Wachungaji, Mitume na Manabii mbalimbali. #MillardAyoUPDATES
 

Attachments

  • Screenshot_20250301-071213.png
    Screenshot_20250301-071213.png
    867 KB · Views: 2
Back
Top Bottom