Mr Morogoro
JF-Expert Member
- Apr 23, 2019
- 1,245
- 1,732
Wewe umeyaona mkuuYashatoka,angalia website ya tamisemi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe umeyaona mkuuYashatoka,angalia website ya tamisemi
Iko kwa PC, hata Niko mtaani mkuuWeka pdf basi
Duuuuuu[emoji54][emoji54][emoji54]Iko kwa PC, hata Niko mtaani mkuu
Link mkuuTayari zimetoka leo
[emoji23][emoji16][emoji36]Mwenye wanataka majina njoo elfu 20000 kukuangalizia
,[emoji3][emoji3][emoji3]nishapata sita kwa tigopesa[emoji23][emoji16][emoji36]
Huu wizi kama wizi mwingineMwenye wanataka majina njoo elfu 20000 kukuangalizia
Uko fit mbaya mkuu,[emoji3][emoji3][emoji3]nishapata sita kwa tigopesa
Huu wizi kama wizi mwingine
Sjakuelewa, badala ya kutuma PDF ,una tuma link. Bado nasisita no wizi kama wizi mwingine...
Bado wanapload!!!Aisee...hazifungukii
Iko kwa PC, hata Niko mtaani mkuu
Umeipata wapi mkuuIko kwa PC, hata Niko mtaani mkuu
Page ya tamisemi imeandika kuwaMkuu tunaomba utuwekee pdf hapa
Siyo tu wizi ila ni ujambazi wa kutumia silaha aina ya teknolojia.Huu wizi kama wizi mwingine
Sawa mkuuPage ya tamisemi imeandika kuwa
"Orodha ya majina yatapatikana hivi punde"
Kwahvo be waitful mkuu.