MPARE KIBOGOYO
JF-Expert Member
- Nov 25, 2013
- 405
- 279
Wakuu hali ni mbaya sana kitaa, siku zinasonga kila mtu anasema lake,tetesi zimekuwa nyingi. maisha nimeyaendesha kwa kubet(Mikeka) lakini siku za karibuni naona nyota haipo upande wangu. Mwenye taarifa sahihi na ajira mpya za walimu..lini?
Watatoa post tarh 19 jan 2014 kuwen na subira
MWALIMU ALIKUWA NYERERE PEKE YAKE nyie wa cku hizi magumashi mengi!
Subiri baraza la Mawaziri lisomwe kwanza. Lakini ndani ya January post zitakuwa zimetoka then March ndo kuripot.
we mburura ina maana huyo nyerere kafundisha wa tz wote peke yake? na ualimu kazaliwa nao au na yeye alifundishwa? mama yako na baba yako walifundisha na nyerere? kama ukijibu hayo maswali ndio utajua mwalimu ni nyerere peke yake!! inakubidi ujitambue ww, km haujavunja ungo(kubalehe mtoto wa kike).
MWALIMU ALIKUWA NYERERE PEKE YAKE nyie wa cku hizi magumashi mengi!
vuta subira mkuu. Ndio tunamalizia hapa. Mwezi huu mwishoni mambo hazarani.