Ajira za wazanzibari kwenye mambo yatakayoondolewa kwenye muungano vipi?

Ajira za wazanzibari kwenye mambo yatakayoondolewa kwenye muungano vipi?

Jose M

Member
Joined
Feb 3, 2011
Posts
64
Reaction score
9
Nauliza tu maana nina utata. Kama tulikuwa hatuajiriwi Zanzibar kwenye mambo yaliyochini yao je Wazanzibari walioajiliwa kwenye mambo yaliyokuwa ya muungano zamani watarudi kwao? Nisadieni utata huu
 
Tukubali kuwa kuwepo kwa serikali tatu ni kukaribisha aina fulani ya ubaguzi na kunyanyapaana, hivyo kwa mzanzibari mwenye ajira bara ajiandae kurudi kwenye kazi ya kupogolea kiunga cha minazi yake huko Mchambawima.
 
In fact kama kungekuwa na serekali moja haya yasingejitokeza. Itabidi wakatafute ajira kwao huko Zanzibar au waamue kuwa waTanganyika kwa sababu Tanganyika haitawabagua
 
Inabidi uende uhamiaji Tanganyika ujaze form ya permit uombe,then uhamiaji waone kama una sifa za kukaa Tanganyika
Kama unasifa basi unaweza pewa first class permit kwa $ 2000 kwa mwaka.
KAKA KWAHERI TANGANYIKA KUNA WENYEWE SHEHE🙂
 
Nauliza tu maana nina utata.
Kama tulikuwa hatuajiriwi Zanzibar kwenye mambo yaliyochini yao je
Wazanzibari walioajiliwa kwenye mambo yaliyokuwa ya muungano zamani
watarudi kwao? Nisadieni utata huu
Mosi, uraia limebaki suala la muungano,
pili, wataendelea kuajiriwa kama ilivyokuwa, mfano, Dk Hussein Mwinyi na naibu wake wanavyoongoza wizara ya afya ambayo si ya muungano
 
Nauliza tu maana nina utata. Kama tulikuwa hatuajiriwi Zanzibar kwenye mambo yaliyochini yao je Wazanzibari walioajiliwa kwenye mambo yaliyokuwa ya muungano zamani watarudi kwao? Nisadieni utata huu

hawatorudi kwao, watakua na hiari ya kuchagua km kwao au tanganyika, mlilikoroga wenyenu kwa umbumbumbu na utapeli wenu sasa mtayala matapishi yenu...tulieeeni tufaidi matunda ya ujinga wenu
 
Inabidi uende uhamiaji Tanganyika ujaze form ya permit uombe,then uhamiaji waone kama una sifa za kukaa Tanganyika
Kama unasifa basi unaweza pewa first class permit kwa $ 2000 kwa mwaka.
KAKA KWAHERI TANGANYIKA KUNA WENYEWE SHEHE🙂

ndoto ya mchana sis hatuondoki, mliyataka wenyenu
 
'kwani jamani hii si ni rasimu tu wakuu,sasa ni nini kinachowapa wasiwasi na kuwakosesha raha kiasi hiko................muamuzi ni refa na dakika 90 bado hazijesha shehe hivyo subirini tu msijali coz time will tell bwana wasiwasi wa nini yakheeee'
 
Hapo itakapokiwepo serikali ya tanganyoka definately suala la ajira kwenye mambo yasiyo ya Muungano lazima liangaliwe upya kabisaaa...
 
Na wabara waliojazana kwenye ajira za utalii zanzibar na ofisi nyenginezo vipi?
 
Cjawah kuwaza kwenda kufanya kaz kwa walebali waendage tu kwa kwel
 
Tukubali kuwa kuwepo kwa serikali tatu ni kukaribisha aina fulani ya ubaguzi na kunyanyapaana, hivyo kwa mzanzibari mwenye ajira bara ajiandae kurudi kwenye kazi ya kupogolea kiunga cha minazi yake huko Mchambawima.

Mchambawima.. ? Majina ya Zenji ni raha tupu. Ajira zao hazitaathirika kwa maana mfumo wa sheria utaruhusu free movt of labour btn member states. Further, there shall be no law enacted to affect people employed before the proposed constitution is effective.
 
Nauliza tu maana nina utata. Kama tulikuwa hatuajiriwi Zanzibar kwenye mambo yaliyochini yao je Wazanzibari walioajiliwa kwenye mambo yaliyokuwa ya muungano zamani watarudi kwao? Nisadieni utata huu
hakuna mjadala katika hilo na mengine mengi tu!...punde tutajua nani akidhulumiwa na uwepo wa muungano huu..!
 
Mpaka sasa hivi hakuna Tanganyika kwa hakuna hata rasimu ya katiba yake tuone inasemaje katika mambo ya msingi yanayowahusu watanganyika!
 
Tukubali kuwa kuwepo kwa serikali tatu ni kukaribisha aina fulani ya ubaguzi na kunyanyapaana, hivyo kwa mzanzibari mwenye ajira bara ajiandae kurudi kwenye kazi ya kupogolea kiunga cha minazi yake huko Mchambawima.

Idara isiyokuwa ya muungano zbar wataanzisha za kwao kama mtu anataka ku deal na minazi is OK
 
Kiukweli hata sasa wamejazana huku bara hadi kwenye halmashauri zetu.
 
Back
Top Bottom