Ajira zote za jeshi la polisi zianzie ngazi ya Diploma

MNGEJUA MWAKAHUU WAMECHUKUA 4 ZA MWISHO MSINGEONGEA
 
Kusoma ni Jambo moja na kuelimika no jambo jingine.
Pia, cheti ni Jambo moja na kazi ni Jambo jingine
 
Jambo la kuzingatia ni, Kuna masomo ya vyeti na masomo ya Kazi.
Tujiulize vyuo vya polisi vinafundisha Nini!!
Nafahamu kuwa ili uweze kuajiriwa katika jeshi lolote lazima ufuzu mafunzo ya jeshi husika, na ili upande cheo unapaswa kufuzo mafunzo ya cheo stahiki.
Haiingii akilini ofisa wa jeshi kutofaha taratibu za kazi yake. Wanamakusudi hawaaa ya kulitia jeshi letu aibu na kufedhehesha vyuo vyetu vya mafunzo ya jeshi ambavyo vimeaminiwa na kuhudumia mataifa mengi.
 
Una undugu au urafiki na Simbachawene ?
Kazi ya jeshi ni kazi ya kujitolea Kama ilivyo kada ya ualimu

"Kazi kubwa maslahi madogo"

Ukiweka wasomi wengi wataangalia maslahi yao kuliko kuangalia kazi
 
Tatizo lako mawazo yako yanatokana na njaa kali ya tumboni na sio kichwani.
Sio kila ajira za kweka kila mtu, mambo mengine ni nyeti sana wewe kilaza yanahitaji watu smart.
 
Umemsikiliza Simbachawene juzi kwenye kipindi cha dakikia 45?
Police kuna graduate wa kutosha na dip nyingi sana. So kwenye mgawanyo wa majukumu lazima F4 nao wawepo
 
Ama kweli viongozi wa nchi huwakilisha aina ya watu wanaowaongoza, tuna safari ndefu kama nchi.
Mods fungeni huu uzi hapa.
Hao wenye diploma wataweza kukaa magetini? Kulinda benk?

Kufukua makaburi kama kuna kesi za mtu kuuwa na kuzika?
 
Jiite mchawi mweusi
 
Unazungumzia mataifa yapi?
Polisi/jeshi ni kazi za amri na sio kazi za kutumia akili nyingi, mtu yeyote mwenye akili timamu, mkakamavu na mwenye uzalendo anaweza kua polisi/mwanajeshi.
 
Wanaotakiwa kutumia PGO ni wapi?
Mkuu F4 ndio hawa wanaolinda mabenki usiku na magetini

Wenye ma degree huwa hawalindi wanakaa ofisini tu saa 8 huyo kaondoka zake.
 
Stendi ipi?
 
Ukiwa na Diploma unakosa nguvu za kukaa getini na kulinda benki?
Hizo nchi nyingine ambazo polisi wenye degree wanafanya hizi kazi ni miujiza?
Hao wenye diploma wataweza kukaa magetini? Kulinda benk?

Kufukua makaburi kama kuna kesi za mtu kuuwa na kuzika?
 
data za uongo mejeshi ya wenzxetu yana wasomi wewngi sana sema tuna fikra za kitumwa tu
 
Jiite mchawi mweusi
Huo ndio ukweli ulivyo!!na utabakia hivyo hivyo!!mwenye degree huwezi kumzungusha kwenye lindo usiku kucha, mala akalinde bank!!akipata tu nafasi nyingine ya kazi ni rahisi kwenda huko,
 
 
Huo ndio ukweli ulivyo!!na utabakia hivyo hivyo!!mwenye degree huwezi kumzungusha kwenye lindo usiku kucha, mala akalinde bank!!akipata tu nafasi nyingine ya kazi ni rahisi kwenda huko,
Sasa ndio watujazie matutusa kwenye jeshi la polisi ambao kazi yao kila siku ni kuwavizia na kuwaua wafanyabiashara wa madini? Mkuu kumbuka hata wewe ndugu yako anaweza kuuwawa na polisi wakati wowote. Inauma sana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…