Lethergo
JF-Expert Member
- Aug 7, 2023
- 6,534
- 11,421
SmatikongaKitochi?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
SmatikongaKitochi?
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Haijalishwi utadakwa TU,hakunaga cheaters smart.
Kuna nguvu inaitwa Roho Mtakatifu ufunua yaliyofichwa gizani
Umefunga Uzi naomba watu waishie hapaAsingejiua, siku hizi tumeacha kutoa adhabu kali kwa mafumanizi. Dawa ni kuwa na wanawake wengi makandokando ili mke wa ndani akizingua wa nje anakutolea stress, halafu unampa uhuru wa ndani afanye uchepukaji wake kwa uhuru na akitaka ahamie kabisa kwa chepuko lake analolipenda isiwe taabu. Hatutaki kuua kwa wivu wa kimapenzi
Utajulikana tuKuna watu ni wanajua kuficha makovu yao mpaka unakuja kuyaona umefanya kazi kubwa sana
Utadakwa TUKama hamuaminiani katika ndoa,hakikisha simu yako ina password asiyoijua mwenzi wako!
Mimi sio Samson nakaza mpaka kaburiniUtajulikana tu
Mimi sio Samson Babu nakaza mpaka niingie pangoni kule nikaogelee madini kwenye mavumbi mnanifukia hapa kumbe upande wa pili pembeni kuna bonge la Dini la dhahabu mnafukia mnaondoka mnaacha naogelea kwenye dimbwi la dhahabuUtadakwa TU
mkuu mbona umecheka?[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Kwa kweli ngoja tusubir tuone, maana huo usiku Halafu mtu aka yeye a sumu sijaelewa kwakweliWamethibitishaje kajiua? Isije ikawa kuna mchezo umechezwa.
Nahisi classmate na wafanyakazi wenzio wote washakufa.R.i.P Classmate...😪
Umetangulia kwa aibu sana
hasa
Kazingua kinyama...Classmate kazingua