Paprika
JF-Expert Member
- Feb 25, 2017
- 5,951
- 9,878
Hii colabo haijawai tokea!!! Mange jana akatoa kipist kimoja tu cha Mama Salma alafu akarudisha majeshi kwa Bashite. Mdada akikuamulia kaamua [emoji23][emoji23]Collabo y Gwajima na Mange itakuwa hatariiiiiii, tena polisi na TCRA watulie wausome mchezo , weee mbona viongozi wangekimbizwa Milembe kama si India