Akamatwa akiwarecord wanaowafukuza Machinga

Akamatwa akiwarecord wanaowafukuza Machinga

Mpinzire

JF-Expert Member
Joined
Jan 18, 2013
Posts
7,503
Reaction score
13,463
Kijana mmoja eneo la Gerezani karibu na kituo cha mwendokasi cha gerezani, amekamatwa na Askari Polisi sababu alikuwa anarecord tukio la wanaobomoa vibanda vya machinga asubuhi hii.

Asubuhi hii watu takriban 20 walikuwa wanapita Gerezani huku wakiwafukuza wafanyabiashara wadogo na kubomoa maeneo mengine huku wakiwa na virungu mikononi mwao.

Inadaiwa matukio ya uvunjwaji hata waandishi wa habari wamepigwa mkwara kuripoti mubashara zoezi zima na ndiyo maana hata la Mbagala jana halijaonekana kwenye vyombo vya habari.
 
Ninawasifu Wapemba, walipanda juu ya miti wakawa wanarekodi matukio yote waliyofanyiwa na polisi wakati wa uchaguzi 2020.
Nyie mnaotetea Wamachinga mnatafuta umaarufu mbuzi. Wachachinga ni kero kwa watu wooote wapenda Utulivu na Ustaaarabu unapotetea uwepo wao unatupa picha wewe ni mtu wa aina gani kichwani.
 
Nyie mnaotetea Wamachinga mnatafuta umaarufu mbuzi. Wachachinga ni kero kwa watu wooote wapenda Utulivu na Ustaaarabu unapotetea uwepo wao unatupa picha wewe ni mtu wa aina gani kichwani.
Tunachotetea ni mipango endelevu ya machinga kuwa na biashara sehemu zinazofikika na katika maduka yenye heshima.

Utaratibu wa vyoo na sehemu zao za kulia wakiwa kazini.
 
Kijana mmoja eneo la Gerezani karibu na kituo cha mwendokasi cha gerezani, amekamatwa na Askari Polisi sababu alikuwa anarecord tukio la wanaobomoa vibanda vya machinga asubuhi hii.

Asubuhi hii watu takriban 20 walikuwa wanapita Gerezani huku wakiwafukuza wafanyabiashara wadogo na kubomoa maeneo mengine huku wakiwa na virungu mikononi mwao.

Inadaiwa matukio ya uvunjwaji hata waandishi wa habari wamepigwa mkwara kuripoti mubashara zoezi zima na ndiyo maana hata la Mbagala jana halijaonekana kwenye vyombo vya habari.

Makamanda tunapaswa kuwa na mikakati ya kuwahami wahanga wetu ili kazi iendelee.

Aliyekuwa ana rekodi kama ndiyo atakula na wa kwao kesho nani atarekodi tena?

Cc: Babati SAGAI GALGANO
 
safi kabisa, hata ningelikuwa mimi ningefanya hivyohivyo. Na kama ni katika wale wanaotumwa na polepole basi awekwe ndani hadi uchaguzi wa mwaka 2030
 
Back
Top Bottom