Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ashalipwa yakheeeHalafu Maalim Seif akaja akaungana na CCM akisema anaponya nchi,[emoji16][emoji16].Greedy
Walimvuta kwao kisha wakammaliza aliendekeza tumbo akaweka akili kushoto.Halafu Maalim Seif akaja akaungana na CCM akisema anaponya nchi,😁😁.Greedy
Ninawasifu Wapemba, walipanda juu ya miti wakawa wanarekodi matukio yote waliyofanyiwa na polisi wakati wa uchaguzi 2020.
[emoji3][emoji3][emoji3]Huyo alokamatwa ni haki yake kukamatwa. Umbea kwenye kazi za watu akome
We kama kula kulala ni lzm Usione umuhimu wa machinga kiuchumi.Nyie mnaotetea Wamachinga mnatafuta umaarufu mbuzi. Wachachinga ni kero kwa watu wooote wapenda Utulivu na Ustaaarabu unapotetea uwepo wao unatupa picha wewe ni mtu wa aina gani kichwani.
Hakuna sheria hiosafi kabisa, hata ningelikuwa mimi ningefanya hivyohivyo. Na kama ni katika wale wanaotumwa na polepole basi awekwe ndani hadi uchaguzi wa mwaka 2030
Inashangaza sanaHivi mnaowatetea hawa jamaa mnapata wapi huu ujasiri? Hii mbona ni kero ya muda mrefu, nyie mlitaka serikali ifanyeje?
Wamachinga wamefanya Dar kuwa mji wa hovyo kabisa
Wakuu huu uholela wa wafanyabiashra wanaojiita wamachinga unakera sana, kila kona ya jiji barabara zote wamejaa wao. Tena ni bora wangekuwa hata na mabanda ya maana, humu barabarani umejaa uchafu tu.. Ukienda Mbagala wamejenga mabanda mpaka katikati ya barabara, na TANROADS wanawaangalia tu...www.jamiiforums.com